kikaragosi
Senior Member
- Nov 14, 2010
- 112
- 10
Kwa habari nlizopata usiku huu kutoka kwa mwanafunzi.Chuo Mlimani kitakuwa na Maandamano kama Egypt kuimiza serikali iwaongee mkopo kwa ajili ya matumizi
Tanzania Tanzania,nakupenda kwa moyo wote......wazee hapa UDSM sasa yanalia mabomu tuwakati huo naona watoto wa shule ya msingi wanakatiza hapa wakishuhudia hayo,hivi kesho hawa watoto watakuaje?
Je watu wakiamua kuandamana wote na kulala barabarani kuanzia posta mpaka kimara, mpaka mbezi beach, watapitisha wapi hayo magari ya maji kuwasha na ya mabomu au watatumia ndege?
A rise in income will not meet your wants.
You should try to minimize your expenses and live accordingly.
Mbona watumishi wa umma wanalipwa 300,000 kwa mwezi na inawatosha wao na familia zao?
You should consult them wawape siri ya uvumilivu
si wawasindikize kwa upole hadi ikulu?