Habari njema, any more news!!
una uhakika una amani hapo ulipo? au umekubali kufunikwa ndani ya chungu cheusi juu kuna jiwe na juu ya hilo jiwe makamba kalikalia. pole mwanakwetu.Tunachoomba ni amani wasije Chadema wakachafua amani yetu.
Kahama kumekucha chadema ipo kahama maandamano na wingi wa watu huku na wimbo wa chadema ukitumbuiza maafande nao wapo na mabom yao.NITAENDELEA KUWAJUZA.....pipooooz power.
Tunachoomba ni amani wasije Chadema wakachafua amani yetu.
Hivi saa 3:21 ndo wamemaliza mkutano watu ni wengi mno wanatoka viwanja vya mpira kahama. Huo ndio mwisho wa ripoti kutoka hapa kahama kama kuna mtu yupo ushirombo naomba nae atujuze. Ila ningependa baada ya hapo tujadiliane mambo ya msingi aliyotuachia watu wa kahama.
Wewe ni miongoni mwa wa TZ wenye mitindio ya ubongo. Hakuna namna nyingine ila nyie ni kuwapa live. Amani yako na nani? Watu wanalala njaa, wanakufa kwa kukosa dawa hsptl, huduma za jamii zote juu, dowans nk afu unasema amani yako na familia yako tu au na mafisadi?
Wewe ni miongoni mwa wa TZ wenye mitindio ya ubongo. Hakuna namna nyingine ila nyie ni kuwapa live. Amani yako na nani? Watu wanalala njaa, wanakufa kwa kukosa dawa hsptl, huduma za jamii zote juu, dowans nk afu unasema amani yako na familia yako tu au na mafisadi?