Maandamano cdm kesho yasitishwa.

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
Maandamano yalikuwa yamepangwa kufanyika kesho nchi nzima, ili kupinga muswada wa katiba wasitishwa na m/kiti wa cdm mh. f.mbowe. Hii ni baada ya spika kuutoa usijadiliwe bungeni.
Source. TBC taifa.
 
Tutaendelea kuisaidia ccm na kuionyesha jinsi nchi inavyotakiwa kuendeshwa........na lazima wafuate mawazo yetu kwani wao akili zao zimeganda wamebaki kung'ang'aniana madaraka na kuliibia taifa huku wakiacha kufikili kwa ajili ya watz..................tutaandamana tu
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Maandamano yalikuwa yamepangwa kufinyika kesho nchi nzima, ila kupinga mswada wa katika wasitishwa na m/kiti wa cdm f.mbowe. Hii ni baada ya spika kuutoa usijadiliwe bungeni.
Source. TBC taifa.

mimi nilidhani Mbowe ndiyo kaahirisha, kumbe Makinda kaharisha.
 
Tutaendelea kuisaidia ccm na kuionyesha jinsi nchi inavyotakiwa kuendeshwa........na lazima wafuate mawazo yetu kwani wao akili zao zimeganda wamebaki kung'ang'aniana madaraka na kuliibia taifa huku wakiacha kufikili kwa ajili ya watz..................tutaandamana tu

NI kama vile JK kakabidhiwa cheo cha Urais lakini nchi amekabidhiwa/wamekabidhiwa watu wengine.
 
mimi nilidhani Mbowe ndiyo kaahirisha, kumbe Makinda kaharisha.

Hapa ndio naanza kuelewa kwa nini darasani mnakuwa 30 lakini wanaofauru wanakuwa 5. kwahiyo mkuu siku hizi Makinda ndio mwenyekiti wa CHADEMA! UNAJISHUSHIA HESHIMA BURE HAPA JAMVINI KWA AJILI YA UJINGA UJINGA KAMA HUU.
 
Hapa ndio naanza kuelewa kwa nini darasani mnakuwa 30 lakini wanaofauru wanakuwa 5. kwahiyo mkuu siku hizi Makinda ndio mwenyekiti wa CHADEMA! UNAJISHUSHIA HESHIMA BURE HAPA JAMVINI KWA AJILI YA UJINGA UJINGA KAMA HUU.

safi sana mkuu
 
Maandamano yalikuwa yamepangwa kufanyika kesho nchi nzima, ili kupinga muswada wa katiba wasitishwa na m/kiti wa cdm mh. f.mbowe. Hii ni baada ya spika kuutoa usijadiliwe bungeni.
Source. TBC taifa.

Kwanini wameondoa button ya groan jamani!
Ina maana spika ndo ana ruhusu maandamano?
Ila nimeona gazeti moja pia limeandika hivo sijui ukweli uko wapi
 
Japo bado tunahitaji maandamano zaidi na zaidi kwa kuwa ndio njia pekee ya kuiamsha serikali hii legelege, ila pia kwa kuwa Maandamano ya kesho Agenda yake imeshajibiwa kwa "plan A ya CDM na UMMA"..... binafsi naunga mkono kama kweli Ndugu Mbowe amehairisha hayo maandamano ya kesho!
Oparesheni "washa taa mchana" iendelee na tunaitaka.
 
Hapa ndio naanza kuelewa kwa nini darasani mnakuwa 30 lakini wanaofauru wanakuwa 5. kwahiyo mkuu siku hizi Makinda ndio mwenyekiti wa CHADEMA! UNAJISHUSHIA HESHIMA BURE HAPA JAMVINI KWA AJILI YA UJINGA UJINGA KAMA HUU.

mkuu .... naamini kile kitufe cha groan bado kingekuwapo ungemgongea
 
Hapa ndio naanza kuelewa kwa nini darasani mnakuwa 30 lakini wanaofauru wanakuwa 5. kwahiyo mkuu siku hizi Makinda ndio mwenyekiti wa CHADEMA! UNAJISHUSHIA HESHIMA BURE HAPA JAMVINI KWA AJILI YA UJINGA UJINGA KAMA HUU.
Saigon!....unanivunja mbavu sana mkuu wangu!....yaani mambo yako yanafanana na rafiki yangu kipenzi Rev.masanilo (yuko banned)....Hakika nam-mis sana huyu jamaa yangu!. Lakini siyo mbaya tumepata mtu anayefanana kinadhalia kivitendo!....big up Saigon
 
Back
Top Bottom