SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,033
Wadau kuna maandamano kupinga kile kinachoendelea masharik ya kat.Wapalestina wa hapa dar na jamaa zao wametanda barabaran wakielekea njia kama unaenda magomen ukitokea hapa ilala boma,maandamano haya n ya aman.Nimesikia mtoto akiimba mashairi ya kuelezea jamii ya kipalestina ilivyo mashakan
Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!
Good job Israel, keep it up....
Mungu ibariki Israel Taifa teule
Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!
Good job Israel, keep it up....
Siku Israel ikianguka na JUA likazama kwenye TOPE ndiyo nitaamini kuwa uislam ni dini ya kweli
Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!
Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!
Hili nalo neno.
And Jesus said, by their fruits ye shall know them!