Kamuone daktari.....kama unapeleka pwani bakuli lote hili na unabaki ulivyo?!!!!
idd na hivyo vilonjo vya kuku,halafu na hapo chini wewe ni mtu au jalala maana kumaliza hicho chakula ni kama kukitupa mahali tu maana tumbo laweza kuwa puto.msosi tari nimeuwekwa kwa fridge nikisubiria mwezi uandame
View attachment 62156
kama vipi nimedownloard mwezi mwandamo na nasherekea leo waskaji kaburini wote
View attachment 62157