T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 6,423 Reaction score 8,368 Aug 20, 2013 #1 Tafadhali naomba wajuzi wa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, wanipe maana za maneno haya ya Kiswahili, ikiambatana na mifano. 1. Utani 2. Mizaha 3. Masihara
Tafadhali naomba wajuzi wa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, wanipe maana za maneno haya ya Kiswahili, ikiambatana na mifano. 1. Utani 2. Mizaha 3. Masihara