Maana ya Neno MFAWIDHI

Maana ya Neno MFAWIDHI

Mkuu wa kituo cha Polisi naye ni Mfawidhi? Mwalimu mkuu naye ni mfawidhi? Kwa nini itumike kwenye mahakama na hospitali tu? Nahisi ina maana zaidi ya hizo wadau mmetaja
 
Back
Top Bottom