Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
<br />Duh!! Siamini kama Flora umepinda kiasi hiki!!
<br />
HAHAHAHAAA SASA SI TUNAKUELEWESHA,!? UTAELEWAJE KAMA TUNAPINDAPINDA SORRY KAMA UMEKEREKA MPENDWA AF UKIPATA TIME NI PM!!!
<br />Duh!! Siamini kama Flora umepinda kiasi hiki!!
Ngoja nikukimbie wewe Chemical nisije nikapata madhara bure!!:msela:
<br />Unazidi kuniacha mkuu,<br />
Labda kiswahili sikifahamu vizuri... by maketio unamaanisha nini?
Utakuta alieandika hivi 45 yrs!Sehemu ya kutolea ushuzi i.e kijambio!!<br />
*** TOPIC CLOSED***
duh kweli umejua kuivalisha nguo lugha eti maketio! sikuwaza kabisa kama ulimaanisha wowowo au lugha ya kizamani eti kishtobe! wanangu waliposikia kauli ya masaburi walikuwa na hamu ya kumuona, siku nilipowaonyesha kwenye tv waliishiwa pozi, wakasema walidhani ni sharobaro fulani hvi kumbe mzee??!! hawakuaminimaketio!