Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,512
Huo msemo umekuwa ukitumika kuelezea hasa mapenzi yanayofanywa kwa kutumia njia ya haja kubwa tu kana kwamba maana yake imeishia hapo.
Kila mtu anajua kazi ya kiungo kilichopo mwilini mwake. Kwamba pua inatumika kuingiza na kutoa hewa ndani ya mwili, kinywa ni kwa ajili ya kupitishia chakula, midomo ni kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano, masikio kwa ajili ya kusikia, macho kwa ajili ya kuona, miguu kutembea, mikono&vidole kushika nk.
Kila kiungo kwenye mwili wa binadamu kipo kwa kazi fulani kama nilivyotangulia kusema hapo juu. Matumizi yoyote ya viungo pasipo kuzingatia asili/sababu ya kuwepo kwake ndio humaanisha "kinyume na maumbile". Je! Unatumiaje viungo vyako vya mwili?
Kila mtu anajua kazi ya kiungo kilichopo mwilini mwake. Kwamba pua inatumika kuingiza na kutoa hewa ndani ya mwili, kinywa ni kwa ajili ya kupitishia chakula, midomo ni kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano, masikio kwa ajili ya kusikia, macho kwa ajili ya kuona, miguu kutembea, mikono&vidole kushika nk.
Kila kiungo kwenye mwili wa binadamu kipo kwa kazi fulani kama nilivyotangulia kusema hapo juu. Matumizi yoyote ya viungo pasipo kuzingatia asili/sababu ya kuwepo kwake ndio humaanisha "kinyume na maumbile". Je! Unatumiaje viungo vyako vya mwili?