Naliskia 2 hl neno mitaan lkn cjaljua maana yake kwa mfano nlimskia m2 akisema kuwa yy anapewa mshahara na marupuru ,xo kwa anayejua welcome
Naliskia 2 hl neno mitaan lkn cjaljua maana yake kwa mfano nlimskia m2 akisema kuwa yy anapewa mshahara na marupuru ,xo kwa anayejua welcome
Hiyo siyo maana ya marupurupuNinalojua marupurupu ni zile hela unazochukua wewe baada ya bajeti fulani, mfano serikali imetoa milion 200 kwa ujenzi wa shule, mhusika wa bajeti hiyo ndani ya halmashauri husika kajenga kwa milion 180 basi milion 20 iliyobaki ni marupurupu yake.
Hiyo siyo maana ya marupurupu
Mbona Makandomende hapo juu kaielezea vizuri tu????we mbona hujaandika yako au unajua kukosoa tu