Mbona ninyi hata tufungwe na blackburns mnashika kipaza sauti,kwani ninyi blackburn?hahhahah me nawashangaa sana hawa washika Gobole Arsenal, badala ya kutafakari nane nane yao wao wamehama club na kujiunga na Man City? Poa karibuni nyumbani Manchester
jamani hata leo bado hamjai kiingereza? Hao mafirauni ni MEN UNITED na sisi ni MAN UTD hamuoni tofauti, au ndo mnatafuta majungu tuu?
Mchungaji alikuwa akifungisha ndoa kati ya mashoga wawili.Akashindwa kuamua nani aitwe mke na nani mume.Baada ya kutafakari kwa muda,mchungaji akasema;Man and Man,i now pronounce you Man United!
Safi sana ndiyo maana walifungwa mabao ya ki bwabwa.