"Maana ya kuishi na mke kwa akili"

Safety last

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
4,227
1,389
Wapendwa wakati wa hii wkend ndefu nilisoma bible kidogo nimekutana na ule mstari unaosema enyi waume ishini na wake zenu kwa akili maana yake nini na akili inakaa wapi ?maana kuna mstari nyingine inasema ukizini huna akili ,naomba tuelimishane jamani
 
Ukisoma Ayubu 32:8...utagundua kuwa akili tunapewa na pumzi ya mwenyenzi Mungu.....Mithali 3:5 tunaambiwa tusizitegemee akili zetu wenyewe.......Mithali 11:12 tunaambiwa mtu asiye na kaili humdharau jirani yake.....Mithali 6: 32 tunaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili....

Tafsiri yangu ya maneno hapo juu: Kuishi na mwanamke kwa akili ni kumthamini kama unavyojithamini mwenyewe kwa kuwa sote tumepewa akili kupitia pumzi ya mwenyenzi Mungu.....lakini pia tunafundishwa kutokuzitegemea akili zetu wenyewe kuishi na wanawake,ni viumbe ambao wanahitaji msaada wa Mungu kuishi nao na kuwaelewa kama ilivyo kwa wanaume.....pia tusiwadharau wanawake ambao ni jirani za wanaume hata kama ni mkeo au mwanao au hata mama yako na wanawake wasiwadharau wanaume...tuheshimiane.....wanaume mnahitaji akili ku-control hisia zenu dhidi ya wanawake.... ndo maanza mnaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili....:smile-big:

mimi nafikiri akili ni uwezo tunaopewa binadamu na Mungu wa kufanya maamuzi yaliyo sahihi na yanayompendeza Mungu. Akili hukaa kichwani kwa kuwa ndiko maamuzi ya mwisho ya binadamu yanafanyika.
 
Ukisoma Ayubu 32:8...utagundua kuwa akili tunapewa na pumzi ya mwenyenzi Mungu.....Mithali 3:5 tunaambiwa tusizitegemee akili zetu wenyewe.......Mithali 11:12 tunaambiwa mtu asiye na kaili humdharau jirani yake.....Mithali 6: 32 tunaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili....

Tafsiri yangu ya maneno hapo juu: Kuishi na mwanamke kwa akili ni kumthamini kama unavyojithamini mwenyewe kwa kuwa sote tumepewa akili kupitia pumzi ya mwenyenzi Mungu.....lakini pia tunafundishwa kutokuzitegemea akili zetu wenyewe kuishi na wanawake,ni viumbe ambao wanahitaji msaada wa Mungu kuishi nao na kuwaelewa kama ilivyo kwa wanaume.....pia tusiwadharau wanawake ambao ni jirani za wanaume hata kama ni mkeo au mwanao au hata mama yako na wanawake wasiwadharau wanaume...tuheshimiane.....wanaume mnahitaji akili ku-control hisia zenu dhidi ya wanawake.... ndo maanza mnaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili....:smile-big:

mimi nafikiri akili ni uwezo tunaopewa binadamu na Mungu wa kufanya maamuzi yaliyo sahihi na yanayompendeza Mungu. Akili hukaa kichwani kwa kuwa ndiko maamuzi ya mwisho ya binadamu yanafanyika.

its ok michele,hapo kwenye akili inakaa kichwani?na doubt na moyoni kuna ?
 
its ok michele,hapo kwenye akili inakaa kichwani?na doubt na moyoni kuna ?

nafikiri moyoni/rohoni kuna hisia kama vile za kutamani kuzini ila kwenye akili ndipo sehemu ya kufanya maamuzi including yale ambayo yanatokana na hisia kama je uzini au usizini na kwanini,kwenye ubongo kichwani ndiko unakoamua labda kutokana na mafundisho ya dini/wazazi au ugonjwa wa ukimwi au mimba ukazini au usizini....mtazamo tu...wengine watasema nao utapata majibu zaidi....
 
Ukisoma Ayubu 32:8...utagundua kuwa akili tunapewa na pumzi ya mwenyenzi Mungu.....Mithali 3:5 tunaambiwa tusizitegemee akili zetu wenyewe.......Mithali 11:12 tunaambiwa mtu asiye na kaili humdharau jirani yake.....Mithali 6: 32 tunaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili....

Tafsiri yangu ya maneno hapo juu: Kuishi na mwanamke kwa akili ni kumthamini kama unavyojithamini mwenyewe kwa kuwa sote tumepewa akili kupitia pumzi ya mwenyenzi Mungu.....lakini pia tunafundishwa kutokuzitegemea akili zetu wenyewe kuishi na wanawake,ni viumbe ambao wanahitaji msaada wa Mungu kuishi nao na kuwaelewa kama ilivyo kwa wanaume.....pia tusiwadharau wanawake ambao ni jirani za wanaume hata kama ni mkeo au mwanao au hata mama yako na wanawake wasiwadharau wanaume...tuheshimiane.....wanaume mnahitaji akili ku-control hisia zenu dhidi ya wanawake.... ndo maanza mnaambiwa kila aziniye na mwanamke hana akili....:smile-big:

mimi nafikiri akili ni uwezo tunaopewa binadamu na Mungu wa kufanya maamuzi yaliyo sahihi na yanayompendeza Mungu. Akili hukaa kichwani kwa kuwa ndiko maamuzi ya mwisho ya binadamu yanafanyika.
Michelle............ can I take you out for dinner?? seriously, i mean it from the bottom of my heart

dang!!! :A S 39:
 
Wapendwa wakati wa hii wkend ndefu nilisoma bible kidogo nimekutana na ule mstari unaosema enyi waume ishini na wake zenu kwa akili maana yake nini na akili inakaa wapi ?maana kuna mstari nyingine inasema ukizini huna akili ,naomba tuelimishane jamani

Hayo unayosema yalikuwa ni maneno ya Mtume Petro katika waraka wake wa kwanza (1 Petro, 3:7). Ukifuatilia versions mbalimbali mbali za kiingereza na hata za kiswahili utaona kidogo kuna tofauti ya uandishi/tafsiri na hivyo kuleta taabu kidogo kwa wasomaji. Nimeitoa hii kutoka kwenye online version ya kiswahili rahisi...na kwa kweli naamini inaeleweka vizuri tu!

7. Husbands, in the same way be considerate as you live with your wives, and treat them with respect as the weaker partner and as heirs with you of the gracious gift of life, so that nothing will hinder your prayers.

Lakini ni vema ukaanzia kusoma mstari wa kwanza (na kama una muda soma waraka mzima):

 
Michelle mpenzi apo naomba mwongozo, ukizini na asiye mwanamke, unakuwa na akili?:eyeroll1:

Hapo ndo ujue haya Mungu hakujua kwamba wanadamu tunaweza kuharibika kiasi hicho!!!!!

Kujibu swali......huyo anakua sio tu hana akili bali hata aibu na woga wa Mungu hana!!!
 
Hayo unayosema yalikuwa ni maneno ya Mtume Petro katika waraka wake wa kwanza (1 Petro, 3:7). Ukifuatilia versions mbalimbali mbali za kiingereza na hata za kiswahili utaona kidogo kuna tofauti ya uandishi/tafsiri na hivyo kuleta taabu kidogo kwa wasomaji. Nimeitoa hii kutoka kwenye online version ya kiswahili rahisi...na kwa kweli naamini inaeleweka vizuri tu!




Lakini ni vema ukaanzia kusoma mstari wa kwanza (na kama una muda soma waraka mzima):
true that
thank you,hivi kichwani kuna ufahamu au akili?? Na moyoni ?
 
1.kasheshe nyingi kwenye ndoa tunazianzisha sisi wanaume.
2.sie ndio wavunja ndoa wakuu au watoa talaka
tukiishi nao wake zetu kwa hekima.....hayo yote yatapungua.
 
Back
Top Bottom