Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Uzalendo sio kufata kile rais anasema bali uzalendo ni kulinda na kutetea katiba na mali za umma. Na uzalendo ni kutoa haki kwa usawa kwa raia wote bila ubaguzi na kupingana na rais katika kulinda katiba ndo uzalendo wenyewe