Maana halisi ya siri za nchi ni nini na ni zipi?

Duh!
 

Ni nani kakuambia ukijunga na idara ya usalama wa taifa utajua siri za nchi/taifa...!?
Siyo kila aliyeko kwenye idara hiyo anafahamu kila kitu kuhusu siri za nchi!
Acha kuleta stori za vijiweni wewe...
 
Uovu wote unaofanywa na serikali ndio huitwa siri za serekali/nchi.
simaanishi ziandikwe hapa.

Nilimaanisha niambiwe Siri gani sitakiwi kuzijua Kama raia wa kawaidana faida yake ni ipi nikizijua aunikiendelea kutozijua.
 
Kama no huvi basi mwenda zake alikuwa dahihi urais ni mzigo mzito.

Kwenye hiyo watake wasitake nimejikuta naogopa sana
 
Ndani ya nchi za kidikteta ambazo hazina demokrasia ya kweli, serikali wanafanya kila kitu kwa siri ili waweke wananchi gizani. Mikataba siri, takwimu za ugonjwa wa corona siri, kila kitu siri. Wananchi wanabaki gizani.
 
Huyo Mshana Jr ndio kakuingiza chaka kabisa! Google Sheria ya Utunzaji Siri u siri uone.
Hebu lete ya kwako tulinganishe.

Yule kajibu kitaalamu na kiuhalisia zaidi

Wewe lete hata hayo yaliyobase kwenye chuki na kuisimanga serikal nitapokea tu.
 
Ila wabongo sijui ni ubishi au ignorance.
Asa siri za serikali utaziwekaje kwenye mitandao?
 
mf; jpm aliwahi nusulika kufa kwa sumu zaman sana enz za uwazili ila hakuwahi sema;;amekuja sema hiv majuz koz haikuwa siri tena,coz ilikuwa kitambo,, nimeongeza ili aelewe mleta mada
 
Ulimchangia Mello chochote katika kuanzisha hii forum hadi uandike huo ujinga ulioandika?
Mjomba wangu huyo kwa hiyo hebu potea hapa nenda kwa waandika (ASA), (xaxa) wenzako.
 
Sawa natulia. Nawe endelea kula matango pori toka kwa kina Mshana Jr.
Kuna vitu Kama raia lazima uvijue ili ushiriki kikamilifu katika kilinda na kuijenga nchi yako sio mtu uende ende tu Kama kopo linalosukumwa na upepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…