MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,395
- 3,247
Kwa kuwa sijui Kama nimeamka vibaya au vizuri naomba niende moja kwa moja kwenye kilichonituma niulize swali hapo juu.
Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini kuwepo na usiri katika baadhi ya mambo yanayolihusu taifa?
Sasa Leo naomba wajuzi mniambie hizi Siri za nchi ni zipi ambazo Kama raia wa nchi husika hatutakiwi kuzijua na kwa nini?
Ipi faida na hasara Kama ikitokea raia wakazijua au wakaendelea kutozijua?
Na vipi hao watunza Siri husika huwa ni watu gani na wangapi kwa nchi nzima?
Msinitukane Wala kuniona mshamba tafadhari.
Asante.
Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini kuwepo na usiri katika baadhi ya mambo yanayolihusu taifa?
Sasa Leo naomba wajuzi mniambie hizi Siri za nchi ni zipi ambazo Kama raia wa nchi husika hatutakiwi kuzijua na kwa nini?
Ipi faida na hasara Kama ikitokea raia wakazijua au wakaendelea kutozijua?
Na vipi hao watunza Siri husika huwa ni watu gani na wangapi kwa nchi nzima?
Msinitukane Wala kuniona mshamba tafadhari.
Asante.