Maana halisi ya siri za nchi ni nini na ni zipi?

Okay tufanye ni kweli..lakini jamaa hakufanya huu ufisadi na kwenda kula Bata popote dunia hii, aliufanya ili nchi ipate maendeleo,
Ni CAG aliyasema haya?Wewe unayasema haya kama nani kwenye hii nchi?Wewe unayasema haya kama chombo gani cha mamlaka kwenye hii nchi?Unamaanisha kuwa tumpuuze CAG na tukusikilize wewe kama chombo chenye mamlaka?Umechanganyikiwa?

Unaelewa kuwa mimi sikutumia utashi wangu kusema kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi bali nimetumia ripoti ya CAG ambacho ni chombo chenye mamlaka na cha kuaminika kwenye hii nchi?
na ndo ufisadi ambao wanachi tulio wengi tunaoutaka, kudhibitisha hivyo hii kelele ya tilion 1 mnaipigia ngoma nyie na kucheza wenyewe kwa uchache wenu sisi wanachi tunajua zilienda wapi na zikafanya Nini.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ninyi wananchi gani?Mna CAG wenu ambae hatambuliki nchini na ambae alitoa ripoti yake ambayo wengine hatuijui?Unaongea haya kwa kutumia reference gani?Unaelewa kuwa niliyoyaongea kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi sijatumia utashi wangu bali nimetumia reference ya ripoti ya CAG ambacho ni chombo cha kuaminika?Sasa wewe unaongea haya kwa kutumia reference gani?Unapoteza muda wangu makusudi?
 
Ni CAG aliyasema haya?Wewe unayasema haya kama nani kwenye hii nchi?Wewe unayasema haya kama chombo gani cha mamlaka kwenye hii nchi?Unamaanisha kuwa tumpuuze CAG na tukusikilize wewe kama chombo chenye mamlaka?Umechanganyikiwa?

Unaelewa kuwa mimi sikutumia utashi wangu kusema kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi bali nimetumia ripoti ya CAG ambacho ni chombo chenye mamlaka na cha kuaminika kwenye hii nchi?

Ninyi wananchi gani?Mna CAG wenu ambae hatambuliki nchini na ambae alitoa ripoti yake ambayo wengine hatuijui?Unaongea haya kwa kutumia reference gani?Unaelewa kuwa niliyoyaongea kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi sijatumia utashi wangu bali nimetumia reference ya ripoti ya CAG ambacho ni chombo cha kuaminika?Sasa wewe unaongea haya kwa kutumia reference gani?Unapoteza muda wangu makusudi?
Hatupotezi muda tunarlimishana hapa bahati mbaya tumeenda nje ya swali langu huko juu.

Tuachane na waliokufa wapumzike au wachomwe Moto huko.

Ok.

Sasa nilijiuliza Sana nini faida ya kuambiana kuwa kila raia ni mlinzi wa nchi yake ikiwa tunayoyalinda hata hayaeleweki?

Nikikuuliza hapo wewe unalinda Nini unachoweza kusimama na kusema Mimi nalinda hiki na kile kwa ajiri ya taifa langu utanionyesha?

Au tunalinda tusivyovijua

Achana na ufisadi kila mtu ni fisadi kwa namna moja au nyingine

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Hatupotezi muda tunarlimishana hapa bahati mbaya tumeenda nje ya swali langu huko juu.

Tuachane na waliokufa wapumzike au wachomwe Moto huko.

Ok.

Sasa nilijiuliza Sana nini faida ya kuambiana kuwa kila raia ni mlinzi wa nchi yake ikiwa tunayoyalinda hata hayaeleweki?

Nikikuuliza hapo wewe unalinda Nini unachoweza kusimama na kusema Mimi nalinda hiki na kile kwa ajiri ya taifa langu utanionyesha?

Au tunalinda tusivyovijua

Achana na ufisadi kila mtu ni fisadi kwa namna moja au nyingine

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Nimekuuliza maswali zaidi ya kumi lakini hujajibu hata moja!Upo sawa kichwani?
 
Siri ni nyingi sana, mifano michache ni hii:

1. Ni namna gani watawazunguka wafadhiri wa nchi ili waendelee kukamuliwa;
2. Namna watatumia misaada au kuisambaza misaada hiyo nchini bila kelele toka sehemu mbalimbali;
3. Ukweli katika taarifa Halisi za mambo ya uviko; hali ya chakula nchini; hali ya nchi kiuchumi, kisiasa , kijamii bila kuleta taharuki nchini;
4. Hali halisi na utayari ktk vyombo vya usalama nchini..
5. Na mengineyo mengi ya namna gani nchi inaongozwa- ni kama vile kuna Job descriptions za kuiongoza nchi, yaani Raisi na serikali ni lazima wafanye mambo Fulani ili nchi itule au itawalike watake au wasitake...ikiwemo kubambikizia watu kesi Ili watu hao waache kelele zao na wajipambanie mahakamani huko na mwisho wa siku attention inakwenda kwingine na mambo ya nchi yanaenda kama chain of custody inavyotaka...
Ya sirini ni mengi kwa kweli -utayajua tu ukiwamo ndani si huku nje...na ukiyachunguza sana utajua si Siri Bali ni uongo na uoga wa serikali wa kufanya matendo maovu... wewe tathmini kesi nyingi za jamuhuri uone ni kitu gani jamuhuri wanalalamika...mfano
1. Watu kuandamana
2. Nchi kutotawalika
3. Mikataba feki
4. Madeal ya kuwanufaisha watawala
5. Mgao wa umeme
6. Wa maji
7. Etc
Mifano ya Siri ni mingi sana... ni headache tupu huko serikalini sijui watu wanakimbilia nini kungangani madarakani Kama Akina CCM...ni kama vile. wanaogopa kuchomolewa maana undondocha wao wanaouita Siri za nchi au za chama na serikali utajulikana tu Mara wakitolewa kwa namna yeyote ile... piga ua, ni lazima watatumia kila njia kuzilinda siri zao zikiwemo mbinu za kubakia madarakani...
Ni maoni yangu- ruksa kuyapinga
Wewe ni Great thinker mkuu.hongera sana!!
 
Okay tufanye ni kweli..lakini jamaa hakufanya huu ufisadi na kwenda kula Bata popote dunia hii, aliufanya ili nchi ipate maendeleo,na ndo ufisadi ambao wanachi tulio wengi tunaoutaka, kudhibitisha hivyo hii kelele ya tilion 1 mnaipigia ngoma nyie na kucheza wenyewe kwa uchache wenu sisi wanachi tunajua zilienda wapi na zikafanya Nini.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hapa umenikwaza mkuu, mwanzoni nilikuona kama binadamu timamu, lakini kusimama na kutetea uovu wa jiwe ni zaidi ya kujivua nguo, unaposema sisi wananchi tulio wengi, unapima kwa kutuma nini? Bora ungesema sisi sukuma gang tulio wengi tumeupenda uovu/ufisadi wa Jiwe.
 
Hapa umenikwaza mkuu, mwanzoni nilikuona kama binadamu timamu, lakini kusimama na kutetea uovu wa jiwe ni zaidi ya kujivua nguo, unaposema sisi wananchi tulio wengi, unapima kwa kutuma nini? Bora ungesema sisi sukuma gang tulio wengi tumeupenda uovu/ufisadi wa Jiwe.
Kuna mtu ndo kanipoteza njia nikajikuta namjibu.unajua hatufanani na hatutakaa tufanane kabisa so kuna tuliompenda yule mzee na nyie ambao hamkumuelewa na wote tuko sawa.


Tuyaache hayo.
 
Kuna mtu ndo kanipoteza njia nikajikuta namjibu.unajua hatufanani na hatutakaa tufanane kabisa so kuna tuliompenda yule mzee na nyie ambao hamkumuelewa na wote tuko sawa.


Tuyaache hayo.
Umejibu kwa hekima sana. Ok tutoke huko
 
Kwa kuwa sijui Kama nimeamka vibaya au vizuri naomba niende moja kwa moja kwenye kilichonituma niulize swali hapo juu.

Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini kuwepo na usiri katika baadhi ya mambo yanayolihusu taifa?

Sasa Leo naomba wajuzi mniambie hizi Siri za nchi ni zipi ambazo Kama raia wa nchi husika hatutakiwi kuzijua na kwa nini?

Ipi faida na hasara Kama ikitokea raia wakazijua au wakaendelea kutozijua?

Na vipi hao watunza Siri husika huwa ni watu gani na wangapi kwa nchi nzima?

Msinitukane Wala kuniona mshamba tafadhari.

Asante.
Kwa afrika Kuua, kutesa, kuiba na kuficha mali za nchi,

Ulaya ni kulinda technologia issibwe au isisamvau hukoshotcountry
 
Kwa kuwa sijui Kama nimeamka vibaya au vizuri naomba niende moja kwa moja kwenye kilichonituma niulize swali hapo juu.

Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini kuwepo na usiri katika baadhi ya mambo yanayolihusu taifa?

Sasa Leo naomba wajuzi mniambie hizi Siri za nchi ni zipi ambazo Kama raia wa nchi husika hatutakiwi kuzijua na kwa nini?

Ipi faida na hasara Kama ikitokea raia wakazijua au wakaendelea kutozijua?

Na vipi hao watunza Siri husika huwa ni watu gani na wangapi kwa nchi nzima?

Msinitukane Wala kuniona mshamba tafadhari.

Asante.
Huwezi zijua Siri za nchi hadi uwe ndani huko deep state kama sisi wachache.
 
Huwezi zijua Siri za nchi hadi uwe ndani huko deep state kama sisi wachache.
Ok Sasa niambie faida ya kuendelea kuzificha kwa sisi wenye nchi NI Nini?

Na tukizijua kutakuwa na faida au madhara gani kwetu wenyewe na nyie mnaozitunza?
 
Kwa kuwa sijui Kama nimeamka vibaya au vizuri naomba niende moja kwa moja kwenye kilichonituma niulize swali hapo juu.

Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini kuwepo na usiri katika baadhi ya mambo yanayolihusu taifa?

Sasa Leo naomba wajuzi mniambie hizi Siri za nchi ni zipi ambazo Kama raia wa nchi husika hatutakiwi kuzijua na kwa nini?

Ipi faida na hasara Kama ikitokea raia wakazijua au wakaendelea kutozijua?

Na vipi hao watunza Siri husika huwa ni watu gani na wangapi kwa nchi nzima?

Msinitukane Wala kuniona mshamba tafadhari.

Asante.
Ni kama mfano wa mikataba wa bandari ya Bagamoyo kutowekwa hadharani na mnataka azurule Kariakoo ndio mjue anachapa kazi na ana Afya njema

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kwa afrika Kuua, kutesa, kuiba na kuficha mali za nchi,

Ulaya ni kulinda technologia issibwe au isisamvau hukoshotcountry
Nadhani hizi sio Siri tunazoweza kuziita za kitaifa bali za mtu mmoja mmoja au kikundi Cha wahuni wachache .hilo la ulaya wale sio binadamu wenzetu najua.
 
Back
Top Bottom