Maana halisi ya fursa

Maana halisi ya fursa

Kukaja Kununu

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
1,077
Reaction score
1,210
FB_IMG_15852478148882485.jpg
 
Corona haji kwa namna iyo mkuu

Serious? Si ndio atadhaniwa kuwa ndio korona mwenyewe????

"My pain may be the reason for somebody's laugh,but my laugh must never be the reason for somebody's pain"

Charlie Chaplin
 
kila jambo hapa duniani ni fursa sema inategemea na jinsi utakavyokua mbunifu na kufumbua jicho la tatu ili kugundua fursa zilizokuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vema sana, MTU Fulani niliwah msoma maandishi yake anasema,,, Uzi unaotenganisha MTU alofanikiwa na asiyefanikiwa ninuwezo wao wa kugundua Fursa wakati wa mchana na wakati wa Usiku ".




"What is yours will always be yours no matter what "
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom