Maamuzi ya Spika, muovu hawezi kuwa na ujasiri wa kumwadhibu muovu mwingine

Mkuu unachanganya mambo.
1. Kama chama kinakataa kupeleka majina hii ni kesi nyingine. Kwanza uelewe Spika au Bunge halihusiki na kesi ya hivi. Kwa sababu Spika anapelekewa jina tu anaambiwa fulani ni Mbunge wa Bunge lako muapishe awe Mbunge(NI AMRI KIKATIBA).. na hana mamlaka ya kuhoji uhalali wake.... japokuwa Mtu mwingine yeyote anaweza kuhoji KWA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI kama vile tu kesi zinazofunguliwa kupinga ushindi wa mbunge fulani aliyetangazwa na NEC.
Hivyo, Kesi hii kimsingi ni kesi ya Tume ya Uchaguzi NEC, kwani tume ndio iliwateua na kumuagiza Spika awapokee kama Wabunge. Swali hapa ni;
Kama tume iliwateua wabunge ambao hawajapendekezwa na chama walipata wapi majina?
Kwa nini CDM hawajaishtaki Tume kwa kuteua Wabunge ambao haijawapendekeza?
Au kuitaka NEC ieleze imepata wapi hayo majina.? (Natambua CDM iliwahi kuomba nyaraka kwa tume lakini ilikaa kisiasa zaidi walipaswa kwenda mahakamni na mahakama ndio iagize tume walete nyaraka husika).
Kwa suala hili CDM walimchafua na kumsingizia sana Spika Ndugai. Kwangu mimi niliona kama ulaghai wa kisiasa uliokuwa unafanywa na Chama.


2. Kufukuzwa COVID 19.
Kwamba Chadema imeacha kushughulika na NEC na imeamua kuwaadhibu walioteuliwa.. sawa;
Hapa pekee kuna walakini..
Jee Covid19 walijiteua?
Nani alipeleka majina yao NEC?
Kama kuna afisa alipeleka majina NEC ni nani?
Ofisa huyo alikuwa na mamlaka hayo kwa mujibu wa Chama?
Ni nani huyo na amechukuliwa hatua gani?
Au Walifoji nyaraka?
Kama walifoji nyaraka kwa nini wasipelekwe mahakamani kwa kufoji wafungwe na Ubunge wao UFE automatically?
Wakifungwa wanapoteza nyadhifa zote chamani na ubunge bila kusumvuka na uanachama wao.

Sijui kama vikao vya kamati kuu na Baraza kuu waliangalia haya. Wameamua kuchukua shortcut kuwafukuza. Sasa covid 19 wameenda mahakamani kuulizia uhalali wa kufukuzwa kwao. Hii ni fursa kwetu tusiojua ukweli kujua kinachoendelea
Ni tume waliwaingiza kibabe
Ni kina Mdee walifoji na kuwadanganya tume na kuwasaliti Chadema?
Kuna kiongozi aliwasaidia ndani ya Chadema na wanatuchezea shere!! na hatimae tujue walifukuzwa kihalali?
Je ubunge wao ni halali au sio halali?

Kama hakuna faulo ndani ya Chama basi chadema walipaswa kufurahia sana hawa kina Mdee kwenda mahakamani kwani kufanya hivyo ni kuweka ukweli Hadharani.. Kuiumbua tume na serikali kwa ujumla na kuonyesha usaliti wa kina Mdee.
Mkuu ubarikiwe sana kwa kuchukua muda wako na kuandika kitu chenye mantiki.....hongera kwa hilo.......

Mimi nadhani nadhani CHADEMA insider watakuwa wanajua kinachoendelea isipokuwa wameamua hili suala kulipeleka kisiasa kama ajenda zingine za kisiasa...... CHADEMA Kuna watu wenye weledi na wasomi ambao najua bila wanalijua jambo hili......

Wao kama chama wanatakiwa kuwa wapole wakati huu ambapo jambo lipo mahakamani....kulalamika na kushinikiza jambo lolote zuri upande wao...kunafanya watu wawatilie mashaka kwamba hofu yao Nini........bahati mbaya hili suala linabebwa kwenye jamii kimihemko....hivyo kutunyima taarifa sahihi wadau....
 
Unapofukuzwa kazi unafukuzwa wewe,hakuna watu unaowawakilisha kazini kwako,unakuwepo kazini kwa maslahi yako binafsi.

Wabunge wa jamuhuri ya muungano hawapo bungeni kwa maslahi yao bali kwa maslahi mapana ya taifa,ni wawakilishi wa wananchi.

Sasa endapo spika ataridhia awafukuze,mpaka kesi yao isikilizwe,hizo nafasi 19 nani atazikalia ili kutunga sheria za nchi kipindi tunasubiri kesi isikilizwe?

Ninachojua maadam kesi ipo mahakamani,hata CDM haiwezi kuteua wengine wakapokelewa bungei itabidi wasubiri kesi itolewe

uamuzi mahakamani, Kesi ikichukua muda mrefu wenye hasara ni sisi umma,tutakaokosa uwakilishi wa wabunge 19 kwa sababu zisizo za lazima.
Unasema mtu akifukuzwa kazi na mwajiri wake hakuna anayeathirika kwa sbb huyu hawakilishi watu kazini!!? Really?

Kwani familia yake, mke wake, watoto wake na ndugu zake tegemezi siyo watu siyo...?

By the way kwa mfumo wetu wa utawala, wabunge wa "VITI MAALUMU" huwa wanawawakilisha wananchi jimbo gani eti..?
 
Leo habari iliyo juu ni uamuzi wa spika Tulia Ackson wa kuwaruhusu Halima na wenzake kuendelea kuwa wabunge licha ya kutokuwa wanachama wa chama chochote cha siasa, jambo ambalo ni kinyume na matakwa ya katiba yetu.

Spika Tulia anasema, hawezi kuwaondolea ubunge wabunge waliovuliwa uwanachama wa chama cha siasa kwa sababu wabunge waliovuliwa uwanachama wa CHADEMA, wamefungua kesi mahakamani kupinga kufutwa kwao uwanachama! Ni sababu ya kushangaza, ni sababu ya kipuuzi na kinafiki kwa sababu mfumo wa sheria haufanyi kazi namna hiyo.

Leo hii, hata ukifukuzwa kazi na muajiri wako kimakosa, huwezi kuendelea kuwa mfanyakazi eti kwa sababu tu umefungua kesi. Kama anayoyasema Tulia, ndiyo mifumo ya kesi ingekuwa inafanya kazi namna hiyo, basi mambo yangekuwa hovyo sana.

Siku zote, hukumu ya mwanzo huendelea kusimama mpaka siku kitakapopatikana chombo cha juu zaidi chenye mamlaka ya kisheria au kikatiba kuweza kutengua uamuzi wa awali.

Anachosema Tulia, ni dhihirisho la unafiki mkubwa uliopo nchini mwetu. Sheria hazina maana, bali zinapindishwa ili kutekeleza matakwa ya watu fulani.

Utawala wa awamu ya 5 haukutaka demokrasia, lakini baadaye baada ya kuona kuwa utakosa pesa ya Jumuia ya Madola, wakalazimisha, kwa kutengeneza upinzani bandia Bungeni.

Lakini tuwe wakweli, ndani ya Bunge hili bandia, nani ana ujasiru wa kumwadhibu mwingine? Karibia wabunge wote, pamoja na spika, waliopo huko Bungeni, ni zao la uovu mkubwa, uchafu, na takataka za kila aina zilizotendwa mwaka 2020 wakati wa utawala dhalimu wa kipindi cha giza.

Ubunge wa kupewa wa akina Halima una tofauti gani na ule wa kupewa wa Spika, na wengine wengi ambao wapo Bungeni?

Hawa wabunge pamoja na huyu Spika, ambao wote walipachikwa na marehemu bila ya ridhaa ya wananchi, wana uhalali gani wa kuwaondoa akina Halima kwenye Bunge hili fake wakati nao wamefika hapo kwa namna ile ile ambayo akina Halima walifika?

Akina Halima walipelekwa pale na jiwe, huyo spika, naye kapelekwa pale na jiwe, ni nini kinachowafanya akina Halima wawe batili, halafu akina Katambi waliopata kura 3 kwenye kura za maoni dhidi ya Masele aliyepata kura 360 za wajumbe, lakini Jiwe likamviringisha mpaka kwenye unaibu Waziri?

Tufahamu tu kuwa akina Halima, ni waovu kama wenzao wengi waliojazana kwenye hilo jumba. Tunasubiria embe chini ya mchongoma.
Hata rais samia ni rais wa mchingo kwani alipatikana kutokana uchaguzi haramu ulisimamiwa na marehemu kichaa
 
Mkuu unachanganya mambo.
1. Kama chama kinakataa kupeleka majina hii ni kesi nyingine. Kwanza uelewe Spika au Bunge halihusiki na kesi ya hivi. Kwa sababu Spika anapelekewa jina tu anaambiwa fulani ni Mbunge wa Bunge lako muapishe awe Mbunge(NI AMRI KIKATIBA).. na hana mamlaka ya kuhoji uhalali wake.... japokuwa Mtu mwingine yeyote anaweza kuhoji KWA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI kama vile tu kesi zinazofunguliwa kupinga ushindi wa mbunge fulani aliyetangazwa na NEC.
Hivyo, Kesi hii kimsingi ni kesi ya Tume ya Uchaguzi NEC, kwani tume ndio iliwateua na kumuagiza Spika awapokee kama Wabunge.

Hapo juu sina shida. Umeeleza vizuri, imeeleweka..
Swali hapa ni;
Kama tume iliwateua wabunge ambao hawajapendekezwa na chama walipata wapi majina?
Kwa nini CDM hawajaishtaki Tume kwa kuteua Wabunge ambao haijawapendekeza?
Au kuitaka NEC ieleze imepata wapi hayo majina.? (Natambua CDM iliwahi kuomba nyaraka kwa tume lakini ilikaa kisiasa zaidi walipaswa kwenda mahakamni na mahakama ndio iagize tume walete nyaraka husika).
Kwa suala hili CDM walimchafua na kumsingizia sana Spika Ndugai. Kwangu mimi niliona kama ulaghai wa kisiasa uliokuwa unafanywa na Chama.

Ndugu inaonesha hujui michezo ya kisiasa..

Kwa hapa, mimi ndipo ninapoona CHADEMA kuwa ina magwiji wa siasa wanaoweza kuusoma mchezo na kung'amua mitego yote ya kisiasa...

Wenzio waliona kitu ambacho wewe hukioni unapotoa hoja yako hivi...

Jiulize swali hili:

Unadhani ni kwanini NEC hawakujibu barua ya CHADEMA ya kuombwa waeleze walikopata majina? Jibu ni hili, waliogopa mtego ambao ndiyo huu wanaotaga kuingia na kunasa sasa...!!
2. Kufukuzwa COVID 19.
Kwamba Chadema imeacha kushughulika na NEC na imeamua kuwaadhibu walioteuliwa.. sawa;
Hapa pekee kuna walakini..

Hakuna walakini..!

Ukitaka majibu, wanayo hao hao wanawake. Wanajua majina yao yalifikaje huko...

Na ukitaka kuelewa kuwa walakini uko huko huko NEC na Bungeni, jiulize swali hili. Kuna miongoni mwa wanawake hao, mmoja alikuwa mfungwa gerezani. Lakini alipewa ubunge akiwa mfungwa na alitolewa usiku wa manane gerezani ili akaapishwe? Unadhani ni nani anaweza kuwa na impunity ya kutenda haya? CHADEMA? Fikiria vizuri, utaelewa...!
Jee Covid19 walijiteua?
Nani alipeleka majina yao NEC?
Kama kuna afisa alipeleka majina NEC ni nani?
Ofisa huyo alikuwa na mamlaka hayo kwa mujibu wa Chama?
Ni nani huyo na amechukuliwa hatua gani?

Nimesema majibu wanayo haohao wanawake. Ndiyo maana ni wajeuri kupindukia kwa sababu wana nguvu kubwa nyuma yao inayowalinda..!
Au Walifoji nyaraka?
Kama walifoji nyaraka kwa nini wasipelekwe mahakamani kwa kufoji wafungwe na Ubunge wao UFE automatically?
Wakifungwa wanapoteza nyadhifa zote chamani na ubunge bila kusumvuka na uanachama wao.

Siyo kila kosa ktk siasa unakimbilia mahakamani. Timing ni muhimu sana ktk siasa. I must say, CHADEMA wana akili sana kisiasa kuliko CCM.

Wangeenda mahakamani by that time haya unayoyaona sasa na kuidhalilisha serikali na Bunge na chama chao CCM, usingeyaona...!

Kwa kifupi, mtego uliotegwa na CHADEMA sasa unakwenda kuwanasa wasipokuwa na hekima na busara...!
Sijui kama vikao vya kamati kuu na Baraza kuu waliangalia haya. Wameamua kuchukua shortcut kuwafukuza.

Ndani ya chama, hizo ni hatua za kawaida, sahihi na salama kabisa. Na ndiyo hatua hizo zinazowaletea na kuwavurugu serikalini na hususani Bungeni na Dr Tulia (Spika). Sasa mahakama nayo imeingia ndani ya mtego huo...!
Sasa covid 19 wameenda mahakamani kuulizia uhalali wa kufukuzwa kwao.

Hawaulizii uhalali wa kufutwa uanachama wao. Wameenda mahakamani ili kuiomba mahakama iulinde ubunge wao. Nothing more, nothing less...!
Hii ni fursa kwetu tusiojua ukweli kujua kinachoendelea
Ni tume waliwaingiza kibabe
Ni kina Mdee walifoji na kuwadanganya tume na kuwasaliti Chadema?

Exactly. Ndiyo fursa kuujua ukweli japo wenye akili WAMESHAJUA...!
Kuna kiongozi aliwasaidia ndani ya Chadema na wanatuchezea shere!! na hatimae tujue walifukuzwa kihalali?
Hawa kina mama wangeshamtaja kama angekuwepo. Kama yupo, basi ni miongoni mwa timu hiyohiyo COVID-19. Wanalindana...!
Je ubunge wao ni halali au sio halali?
Hauna uhalali. Chama kimeshatamka hilo...
Kama hakuna faulo ndani ya Chama basi chadema walipaswa kufurahia sana hawa kina Mdee kwenda mahakamani kwani kufanya hivyo ni kuweka ukweli Hadharani..
Kwa ufahamu wako unadhani ni hivyo? Nimekuambia wenzio wamekwenda huko kulinda ubunge wao tena kwa maelekezo ya serikali yenyewe..

Rejea tamko la Spika Dr Tulia jana saa 4asb kuwa amepokea zuio la mahakama (court injuction) lakini kesi ilisikilizwa saa 9alasiri na ndipo mahakama ikatoa temporary court injuction..

Jiulize: kuna nini hapo?

Hayo ya forgery hayatajadiliwa kwa sbb serikali haitatoa mwanya huo. Forgery imefanywa na wao kupitia NEC na BUNGE..

Kwenye hili, mtazamo wa CHADEMA ni kushughulikia mgogoro huu kwa mbinu na njia za kisiasa. Mahakama haiwezi kutoa suluhu ya mgogoro huu..

Njia za kisiasa ni hizi. Kupiga kelele na kuashiria nguvu ya umma ishinikize kuleta mabadiliko...

Mahakama ya umma ndiyo suluhisho la migogoro ya kisiasa...
 
Hapo juu sina shida. Umeeleza vizuri, imeeleweka..


Ndugu inaonesha hujui michezo ya kisiasa..

Kwa hapa, mimi ndipo ninapoona CHADEMA kuwa ina magwiji wa siasa wanaoweza kuusoma mchezo na kung'amua mitego yote ya kisiasa...

Wenzio waliona kitu ambacho wewe hukioni unapotoa hoja yako hivi...

Jiulize swali hili:

Unadhani ni kwanini NEC hawakujibu barua ya CHADEMA ya kuombwa waeleze walikopata majina? Jibu ni hili, waliogopa mtego ambao ndiyo huu wanaotaga kuingia na kunasa sasa...!!


Hakuna walakini..!

Ukitaka majibu, wanayo hao hao wanawake. Wanajua majina yao yalifikaje huko...

Na ukitaka kuelewa kuwa walakini uko huko huko NEC na Bungeni, jiulize swali hili. Kuna miongoni mwa wanawake hao, mmoja alikuwa mfungwa gerezani. Lakini alipewa ubunge akiwa mfungwa na alitolewa usiku wa manane gerezani ili akaapishwe? Unadhani ni nani anaweza kuwa na impunity ya kutenda haya? CHADEMA? Fikiria vizuri, utaelewa...!


Nimesema majibu wanayo haohao wanawake. Ndiyo maana ni wajeuri kupindukia kwa sababu wana nguvu kubwa nyuma yao inayowalinda..!


Siyo kila kosa ktk siasa unakimbilia mahakamani. Timing ni muhimu sana ktk siasa. I must say, CHADEMA wana akili sana kisiasa kuliko CCM.

Wangeenda mahakamani by that time haya unayoyaona sasa na kuidhalilisha serikali na Bunge na chama chao CCM, usingeyaona...!

Kwa kifupi, mtego uliotegwa na CHADEMA sasa unakwenda kuwanasa wasipokuwa na hekima na busara...!


Ndani ya chama, hizo ni hatua za kawaida, sahihi na salama kabisa. Na ndiyo hatua hizo zinazowaletea na kuwavurugu serikalini na hususani Bungeni na Dr Tulia (Spika). Sasa mahakama nayo imeingia ndani ya mtego huo...!


Hawaulizii uhalali wa kufutwa uanachama wao. Wameenda mahakamani ili kuiomba mahakama iulinde ubunge wao. Nothing more, nothing less...!


Exactly. Ndiyo fursa kuujua ukweli japo wenye akili WAMESHAJUA...!

Hawa kina mama wangeshamtaja kama angekuwepo. Kama yupo, basi ni miongoni mwa timu hiyohiyo COVID-19. Wanalindana...!

Hauna uhalali. Chama kimeshatamka hilo...

Kwa ufahamu wako unadhani ni hivyo? Nimekuambia wenzio wamekwenda huko kulinda ubunge wao tena kwa maelekezo ya serikali yenyewe..

Rejea tamko la Spika Dr Tulia jana saa 4asb kuwa amepokea zuio la mahakama (court injuction) lakini kesi ilisikilizwa saa 9alasiri na ndipo mahakama ikatoa temporary court injuction..

Jiulize: kuna nini hapo?

Hayo ya forgery hayatajadiliwa kwa sbb serikali haitatoa mwanya huo. Forgery imefanywa na wao kupitia NEC na BUNGE..

Kwenye hili, mtazamo wa CHADEMA ni kushughulikia mgogoro huu kwa mbinu na njia za kisiasa. Mahakama haiwezi kutoa suluhu ya mgogoro huu..

Njia za kisiasa ni hizi. Kupiga kelele na kuashiria nguvu ya umma ishinikize kuleta mabadiliko...

Mahakama ya umma ndiyo suluhisho la migogoro ya kisiasa...
Yaani ulivomalizia ndio umeniacha hoi kabisa..
Labda nikuambie siasa wanafanya wanasiasa tena siasa zenye lengo la kuwafanya wabaki kwenye siasa. Asiye mwanasiasa hamwamini mwanasiasa na hata mwanasiasa wa upande mmoja hamwamini wala hamkubali mwanasiasa wa ngambo ya pili ya siasa wanakotofautiana nao kisiasa. Logic does not count...
Hii ndio sababu mazuzu na wapumbavu wa Ccm wanasapotiana humu kwa mambo ya kijinga kabisa na kutukana watu wenye mtazamo tofauti kisiasa.. Vivo hivo mazuzu na malofa wa Chadema wanasapotiana ujinga na kutukana wanasiasa wengine kutoka kambi tofauti ya siasa.
Mtu yeyote Neutral hawezi kumuamini Mbowe kwa 100% anapofanya siasa vivo hivo hawezi kumuamini Kinana kwa 100% anapofanya siasa.
Imani yako unayoitangaza hapa kwa Chama chako au Mbowe wako ndio Ujinga wako...

Ushauri wangu chukua facts sio siasa.
Kwani wewe unawaona CDM kama nani labda... malaika?
Hawa wala Ruzuku na michango?
Hawa wenye ofisi kama choo?
Hawa wanaowahonga mahawara, wake, madada, na mama zao ubunge?
Hawa wanaopeleka mkazi wa Kilimanjaro akawe mbunge wa kuteuliwa Viti Maalum Mpanda?
Hawa wanaoshadadia ukabila au ukanda?
Hiviii....
Malaika ni huyu Mbowe aliye wamaliza kina Dr. Kabourou, Dr. Slaa, Dr. Mashinji, Kina Zitto and Kampani,
Kina Arfi, kina Prof Safari, kina Chacha Wangwe, kina Kubenea, na Komu na wale Wabunge zaidi ya 15 na Madiwani zaidi ya 200 walitimka na kukihama chama muhula 2015-2020. Hawa wengi wao ni wahanga wa siasa za Mwamba.. Au na wewe uliamini matango pori eti walinunuliwa???

Hiyo ndio Siasa na hawa ndio wanasiasa wetu unaotaka tuwaamini
To me opposition is for the better option..
 
Leo habari iliyo juu ni uamuzi wa spika Tulia Ackson wa kuwaruhusu Halima na wenzake kuendelea kuwa wabunge licha ya kutokuwa wanachama wa chama chochote cha siasa, jambo ambalo ni kinyume na matakwa ya katiba yetu.

Spika Tulia anasema, hawezi kuwaondolea ubunge wabunge waliovuliwa uwanachama wa chama cha siasa kwa sababu wabunge waliovuliwa uwanachama wa CHADEMA, wamefungua kesi mahakamani kupinga kufutwa kwao uwanachama! Ni sababu ya kushangaza, ni sababu ya kipuuzi na kinafiki kwa sababu mfumo wa sheria haufanyi kazi namna hiyo.

Leo hii, hata ukifukuzwa kazi na muajiri wako kimakosa, huwezi kuendelea kuwa mfanyakazi eti kwa sababu tu umefungua kesi. Kama anayoyasema Tulia, ndiyo mifumo ya kesi ingekuwa inafanya kazi namna hiyo, basi mambo yangekuwa hovyo sana.

Siku zote, hukumu ya mwanzo huendelea kusimama mpaka siku kitakapopatikana chombo cha juu zaidi chenye mamlaka ya kisheria au kikatiba kuweza kutengua uamuzi wa awali.

Anachosema Tulia, ni dhihirisho la unafiki mkubwa uliopo nchini mwetu. Sheria hazina maana, bali zinapindishwa ili kutekeleza matakwa ya watu fulani.

Utawala wa awamu ya 5 haukutaka demokrasia, lakini baadaye baada ya kuona kuwa utakosa pesa ya Jumuia ya Madola, wakalazimisha, kwa kutengeneza upinzani bandia Bungeni.

Lakini tuwe wakweli, ndani ya Bunge hili bandia, nani ana ujasiru wa kumwadhibu mwingine? Karibia wabunge wote, pamoja na spika, waliopo huko Bungeni, ni zao la uovu mkubwa, uchafu, na takataka za kila aina zilizotendwa mwaka 2020 wakati wa utawala dhalimu wa kipindi cha giza.

Ubunge wa kupewa wa akina Halima una tofauti gani na ule wa kupewa wa Spika, na wengine wengi ambao wapo Bungeni?

Hawa wabunge pamoja na huyu Spika, ambao wote walipachikwa na marehemu bila ya ridhaa ya wananchi, wana uhalali gani wa kuwaondoa akina Halima kwenye Bunge hili fake wakati nao wamefika hapo kwa namna ile ile ambayo akina Halima walifika?

Akina Halima walipelekwa pale na jiwe, huyo spika, naye kapelekwa pale na jiwe, ni nini kinachowafanya akina Halima wawe batili, halafu akina Katambi waliopata kura 3 kwenye kura za maoni dhidi ya Masele aliyepata kura 360 za wajumbe, lakini Jiwe likamviringisha mpaka kwenye unaibu Waziri?

Tufahamu tu kuwa akina Halima, ni waovu kama wenzao wengi waliojazana kwenye hilo jumba. Tunasubiria embe chini ya mchongoma.

Kwahiyo wewe ulitaka Speaker akaidi amri ya mahakama?
 
Hizo double standards zinazofanywa na Bunge letu ni za nini?

Hivi wale wabunge wa viti maalum wa CUF, si mliwafukuza ubunge, mara tu Mwenyekiti wenu, Profesa Lipumba alipowapa taarifa kuwa keshawavua uanachama wao?

Hivi kwa nini, huyu Spika Tulia, tunayeaminishwa kuwa ana PhD ya sheria, aamue kuisigina waziwazi Katiba ya nchi, ambayo ndiyo supreme ya sheria zote za nchi hii?
Kwani wabunge wa CUF wallenda mahakamani?
 
Yaani ulivomalizia ndio umeniacha hoi kabisa..
Kivipi?
Labda nikuambie siasa wanafanya wanasiasa tena siasa zenye lengo la kuwafanya wabaki kwenye siasa. Asiye mwanasiasa hamwamini mwanasiasa
Hilo ndilo lengo la siasa. Kupata madaraka...
na hata mwanasiasa wa upande mmoja hamwamini wala hamkubali mwanasiasa wa ngambo ya pili ya siasa wanakotofautiana nao kisiasa. Logic does not count...
Labda ufafanue. Hujaeleweka...
Hii ndio sababu mazuzu na wapumbavu wa Ccm wanasapotiana humu kwa mambo ya kijinga kabisa na kutukana watu wenye mtazamo tofauti kisiasa.. Vivo hivo mazuzu na malofa wa Chadema wanasapotiana ujinga na kutukana wanasiasa wengine kutoka kambi tofauti ya siasa.
Yaliyo ya "kijinga" kwako, kwa wenzako ni hoja na ni siasa. La sivyo, basi na wewe unafanya mambo ya kijinga hata sasa....!
Mtu yeyote Neutral hawezi kumuamini Mbowe kwa 100% anapofanya siasa vivo hivo hawezi kumuamini Kinana kwa 100% anapofanya siasa.
Imani yako unayoitangaza hapa kwa Chama chako au Mbowe wako ndio Ujinga wako...
1. "Mtu neutral" ni mtu wa namna gani kweli ktk siasa?

2. As far as I know, hakuna neutrality ktk siasa uwe mfuasi au a real politician on ground. Ukisema wewe ni neutral, basi wewe ni mwongo...!

3. Kuamini mtu au chama, It's a personal choice. Usipate shida kama umenielewa hivyo, ni choice yangu...

Ushauri wangu chukua facts sio siasa.
Kwani wewe unawaona CDM kama nani labda... malaika?
Hawa wala Ruzuku na michango?
Hawa wenye ofisi kama choo?
Hawa wanaowahonga mahawara, wake, madada, na mama zao ubunge?
Sasa hizi ni frustrations zako...

Unasumbuliwa na personal conflicts. Huwezi hata kwa chembe tu kuthibitisha haya..!
Hawa wanaopeleka mkazi wa Kilimanjaro akawe mbunge wa kuteuliwa Viti Maalum Mpanda?
Hawa wanaoshadadia ukabila au ukanda?
Kwani Mpanda ni maalumu kwa kina nani? Wachagga au wapare wa Kilimanjaro waishio huko Mpanda hawana haki ya kuwa viongozi? Nakushauri kuwa, usimeze tu kila kila propaganda unayoisikia. Ukisikia jambo, jitahidi kutafuta ukweli wake..

Wewe uliamini propaganda za kusikia na unaendelea kuziamini na kuzieneza. NI MAKOSA, HAIFAI...tafuta facts!
Hiviii....
Malaika ni huyu Mbowe aliye wamaliza kina Dr. Kabourou, Dr. Slaa, Dr. Mashinji, Kina Zitto and Kampani,
Kina Arfi, kina Prof Safari, kina Chacha Wangwe, kina Kubenea, na Komu na wale Wabunge zaidi ya 15 na Madiwani zaidi ya 200 walitimka na kukihama chama muhula 2015-2020. Hawa wengi wao ni wahanga wa siasa za Mwamba..
Aliwamalizaje kweli? Hebu kumbusha na thibitisha kwa evidence isiyo na shaka...!
Au na wewe uliamini matango pori eti walinunuliwa???
Wewe unaonaje kwani..? Kuna kosa gani iwapo niliamini?
Hiyo ndio Siasa na hawa ndio wanasiasa wetu unaotaka tuwaamini.
Mmmmmh, sijui una maana kwa sbb hata wewe unawajadili hawahawa usiowaamini..

Unachokitafuta ni nini kwani? Ingekuwa jambo jema kuendelea na mambo yako badala ya kuwajadili watu usiowaamini...!
To me opposition is for the better option..
I don't get you...

Explain..! What exactly do you mean...
 
Back
Top Bottom