Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
- Thread starter
- #21
nyie mtaona matokeo najua mtanilaumu sana,na kuniona nimepotoka lakini ndo amani yangu ipo paleHata mie nilikuwa najaribu kutegua kitendawili cha Smile,
Ngoja kwanza atusimulie vizuri kile anachopanga kufanya ili tuendelee kubashiri!
Babu DC!!