Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 936
umeshatoka kwa mama muuza?Mbona maazimia yalishajulikana tangu Jana!
Ndio unaingia nchini au......
Mzee akilimali yupo sahihi kwa lipi na manji amezinguA nini? fafanuaUkimsikiliza akilimali yupo sahihi, sema yanga wanaponzwa na fashiri za manji,
Ila ukwel haiwezekani yanga kukodishwa huo utakuwa ni wendawazim wa mchana kkoo
mkuu fuatilia soka la bongo, manji alitishia kujitoaMzee akilimali yupo sahihi kwa lipi na manji amezinguA nini? fafanua
mbona hujaonesha ni kivipi yupo sahihi sasa? Na manji amekosea nini?! toa facts mkuumkuu fuatilia soka la bongo, manji alitishia kujitoa
akilimali alipoulizwa kama katibu wa wazee wa
yanga akasema kama ameamua hakina shida
yy haon sabab ya yanga kukodishwa,
wanachama wametangaza kuwa wanKusudia kumvua
uanachama, maana amekiuka maadili ya uongozi
i mean wanachama wa matawi 90s
hapo ndipo mgogoro ulipo