Pamputi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 982
- 724
HAKUNA NAMNA YA KUMVUMILIA MSALITI MWENYE SIFA HIZI NDANI YA CHAMA (CCM)
1. Mnategemea mbinu zake kuleta ushindi wakati kichwani mwake anapambana kuwamaliza kwa faida ya wapinzani aliowakabithi moyo wake.
2. Msaliti ni wakala wa taarifa nyeti kutoka kwenye vikao vya chama kwenda kwa wapinzani (mvujisha siri)
3. Msaliti ndani ya chama ni kikwazo cha kufikia matarajio ya chama kwenye chaguzi, kutekeleza ilani na shughuli za chama kwa ujumla
4. Msaliti ni mtu anayefurahishwa na kushindwa au kusulubiwa kwa chama (CCM) na wapinzani, mkiwa nae anajifanya kuumia pembeni anafanya sherehe.
5. Msaliti ni sawa na kifaa kibovu kwenye gari wakati dereva anapambana kusonga mbele kifaa kibovu kinakwamisha safari.
6. Msaliti ni adui mwenye siraha ndani ya chama, maana anajua nguvu na udhaifu wa chama ni rahisi sana kuleta matatizo kwenye chama .
7. Msaliti ni kama mpishi anayepika chakula akiwa na sumu mkononi, muda wowote anaweza kuleta anguko la chama.
8. Msaliti hana tofauti na kichaa aliyekabithiwa siraha muda wowote anaweza kubomoa ngome ya chama ( CCM)
9. Msaliti ni ugonjwa ndani ya chama, wakati viongozi na wanaCCM wengine awaleta afya njema ya chama msaliti anakidhoofisha.
10. Msaliti ndani ya CCM ni halufu mbaya mbele ya wanaCCM waadilifu akikaa karibu nao wanaanza kutoa halufu mbaya.
CCM imefanya maamuzi sahihi, wakati sahihi kwa maslahi ya CCM na taifa kwa ujumla maana bila CCM imara taifa litatikisika , nawapongeza viongozi na wajumbe wote waliokubaliana kuwachapa wasaliti bila huruma.
Ni vema sasa rungu hili likawachape wanaotumia rushwa kwenye uchaguzi wa chama na serikali, hii ndiyo njia muhimu ya kuirudisha CCM mikononi mwa wananch wa kawaida.
1. Mnategemea mbinu zake kuleta ushindi wakati kichwani mwake anapambana kuwamaliza kwa faida ya wapinzani aliowakabithi moyo wake.
2. Msaliti ni wakala wa taarifa nyeti kutoka kwenye vikao vya chama kwenda kwa wapinzani (mvujisha siri)
3. Msaliti ndani ya chama ni kikwazo cha kufikia matarajio ya chama kwenye chaguzi, kutekeleza ilani na shughuli za chama kwa ujumla
4. Msaliti ni mtu anayefurahishwa na kushindwa au kusulubiwa kwa chama (CCM) na wapinzani, mkiwa nae anajifanya kuumia pembeni anafanya sherehe.
5. Msaliti ni sawa na kifaa kibovu kwenye gari wakati dereva anapambana kusonga mbele kifaa kibovu kinakwamisha safari.
6. Msaliti ni adui mwenye siraha ndani ya chama, maana anajua nguvu na udhaifu wa chama ni rahisi sana kuleta matatizo kwenye chama .
7. Msaliti ni kama mpishi anayepika chakula akiwa na sumu mkononi, muda wowote anaweza kuleta anguko la chama.
8. Msaliti hana tofauti na kichaa aliyekabithiwa siraha muda wowote anaweza kubomoa ngome ya chama ( CCM)
9. Msaliti ni ugonjwa ndani ya chama, wakati viongozi na wanaCCM wengine awaleta afya njema ya chama msaliti anakidhoofisha.
10. Msaliti ndani ya CCM ni halufu mbaya mbele ya wanaCCM waadilifu akikaa karibu nao wanaanza kutoa halufu mbaya.
CCM imefanya maamuzi sahihi, wakati sahihi kwa maslahi ya CCM na taifa kwa ujumla maana bila CCM imara taifa litatikisika , nawapongeza viongozi na wajumbe wote waliokubaliana kuwachapa wasaliti bila huruma.
Ni vema sasa rungu hili likawachape wanaotumia rushwa kwenye uchaguzi wa chama na serikali, hii ndiyo njia muhimu ya kuirudisha CCM mikononi mwa wananch wa kawaida.