Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Chura matata kiuno nyugwi ujauzito unamuelemea mpaka anashindwa kusoma,kama unavyojua ujauzito unavyosumbua miezi ya mwanzo.Ameshauri kama inawezekana aitoe....ili akamilishe masomo ya chuo kwanza...baada ya hapo ndio abebe.Kwa kumuonea huruma nimemwambia nakusikiliza wewe na kukuacha siwezi.Kama ungekuwa ni wewe ungefanya maamuzi gani?