Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Nishachoka kuendelea kuwa CCM na hasa mchango wa Kangi Lugola Jana kuhusu bidhaa za kigeni bungeni hadi dakika hii ninayemsubiri ni Lowassa tu aidha awe raisi au wamchakachue nikimbilie UKAWA kabla hawajafunga milango na madirisha.