Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Hata kama ni jambaz a.k.a fisadi?
Mbona hakuvuliwa gamba..?? Au ufisadi umeonekana baada ya kuutaka uraisi..??
Hata kama ni jambaz a.k.a fisadi?
Akhsante Mkuu, hiki ndo nilichotaka kusikia, JE PLAN B NI NNI ENDAPO ATAKATWA JINA?Haiwezi kubaki salama hata kidogo.... Lowassa ana zaidi ya kura millioni 8 mkononi kupitia wale vijana wa 4u na makundi mbalimbali walioenda kumshawishi....
CCM wasicheze gambling hapa! Judge Ramadhan is still a junior in politics and not intouch with the common mwananchi. He is a man of the elites wale wasomi. Sio mtu anaeamini kwenye uzalendo kwani nusu ya familia yake yote hiki nje ya nchi wanafanyakazi huko. He can't connect the dots nakukutana na mwananchi wa kawaida.
His candidature would render CCM OFFIALLY AN OPPOSSION PARTY.
TUAMKE WATANZANIA. CHAGUA MTU SAHII MWENYE MAAMUZI. CHAGUA LOWASSA.
Haiwezi kubaki salama hata kidogo.... Lowassa ana zaidi ya kura millioni 8 mkononi kupitia wale vijana wa 4u na makundi mbalimbali walioenda kumshawishi....
Umeona eh!uchambuzi yakinifu, big up japo simkubali hata mmoja hapo
Hapo umekosea. Kinachopendwa ni hela za Lowassa na siyo yeye binafsi.lowassa anapendwa na walio wengi nikiwemo mm sasa msitujumuishe ktk umoja wenu wachache
Lowassa anatakiwa na majority... Mpaka sasa Lowassa ana kura millioni 8 mkononi
wewe aidha ni:-Lowassa anatakiwa na majority... Mpaka sasa Lowassa ana kura millioni 8 mkononi
Lakini unatakiwa kukumbuka na kuelewa kuwa wananchi hawa unaowaona Leo si wale wa mwaka 2005 mwananchi wa Leo wanaelewa siasa ni nini, wanaelewa mchezo mchafu wa siasa. Hawataki kuchaguliwa rais. LOWASA ndiye chaguo la wananchi kinyume na hapo KILIO kwa CCMNgoja nikuulize swali moja tu, kwani mwaka 1995 wakati CCM walipomteua Mkapa alikuwa na mvuto na watanzania wangapi walikuwa wanamfahamu kama mwanasiasa na mwanadiplomasia mahiri?
Tuwaache hao CCM wacheze hiyo karata yao ya mwisho kabisa, kwa kuwa weshabaini kuwa agenda kuu ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu itakuwa ni ufisadi, kwa hiyo wanajua kuwateua watu wa design ya akina mzee wa mamvi ni sawa sawa na kuamua kukichimbia kaburi chama chao na kuwasafishia njia Ukawa kutwaa madaraka kiulaini kabisa.