mkuu mbona unajishkutia sana, inawezekana ni ugonjwa wa kawaida... kuna jamaa yangu alikuwa na fangasi wa mdomo, alikuwa na vidonda mdomoni, ni bora ukapime vidonda ivyo piaAsante Doctors :nimefunguka dalil hzo ni kidonda mdomoni na vichache kwenye ulimi but i get confused kwa sababu dalili hz zimejitokaza almost two month lakini nimepima nipo pouwa je inawezekana ukaonesha dalili alafu uwe Negative