Maalum kwa watoto wa wakulima tu!

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
18664152_1492955910768496_1960936006956723289_n.jpeg
Bila shaka unakumbuka hiyo menyu mkishamaliza hapo jembe begani...shamba moja!
 
View attachment 514354 Bila shaka unakumbuka hiyo menyu mkishamaliza hapo jembe begani...shamba moja!
Mkuu umenikumbusha miaka 31 iliyopita, mimi na mdogo wangu mmoja tuligonga "mbute kwa maziwa mgando" tukaingia shambani kupalilia pamba, sasa mdogo wetu mwingine naye akaigiza kutufuata sisi tuliopiga mbute. Muda kidogo akabwaga manyanga, maana njaa ilikuwa nusura imwue!!
 
Back
Top Bottom