falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
- Thread starter
- #881
zipo zinazowahi japo chache kama abood akifuatiwa na kisbo nkSiku hizi Dar to Mwanza nasikia unalala njiani,je ni kweli?!
zipo zinazowahi japo chache kama abood akifuatiwa na kisbo nkSiku hizi Dar to Mwanza nasikia unalala njiani,je ni kweli?!
Ok,daa unafika Dar au Mwanza ukiwa hoi bin taaban.zipo zinazowahi japo chache kama abood akifuatiwa na kisbo nk
tahmeed dar express dar lux tsh 65000Basi gani nzuri ina ruti ya moja kwa moja hadi
Nairobi Kenya ?
Na nauli yake ikoje
kwa sasa ?
sawa mkuu tutaupdate tu usijaliKuna haya magari sijayaona.
#1. Marangu Express
#2. Ester Luxury
#3. Kapricon
#4. Sahara
#5. Freys
#6. Msawa Express
#7. Kvc
#8. Moshi Luxury
#9. Shabco.
#10. Raqeeb
#11. Ngomuo.
#12.
falcon mombasa
#6. Mvungi
sawa mkuu tutaupdate tu usijaliKuna haya magari sijayaona.
#1. Marangu Express
#2. Ester Luxury
#3. Kapricon
#4. Sahara
#5. Freys
#6. Msawa Express
#7. Kvc
#8. Moshi Luxury
#9. Shabco.
#10. Raqeeb
#11. Ngomuo.
#12.
falcon mombasa
#6. Mvungi
dar mwanza dar tunduma ameanza muda sasa, gari za kusin mbona zinaingia ubtSiku izi Abood anaenda Mwanza.
Alafu izi Gari za kwenda kusini, hazifiki ubungo au? Au kuna baadhi zinafikaa
Ivi Gari gani nzuri kwa kutuma mzigo kwenda Mtwaradar mwanza dar tunduma ameanza muda sasa, gari za kusin mbona zinaingia ubt
Kisbo,kitu cha express.aksante.. nimekosea kuandika kwa sabab nipo kwenye daladala naenda kukata ticket