Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,720
- 3,676
Lushanga
Hahaha na FalconLushanga
Ahaaaa, hiyo excuse haikubaliki. Sasa "ractiory" ndiyo dude gani ?aksante.. nimekosea kuandika kwa sabab nipo kwenye daladala naenda kukata ticket
Njoo shuleni kwangu ufunzwe somo la mwandko kwanza kabla hujaelekezwa namna ya kuyapata mabasi yaendayo Kahama
Ulitaka lilale kitandani lifunikwe na shuka?lushanga jaman naskia linalala njian
Dar luxpls msaada wa haraka
HahahaUlitaka lilale kitandani lifunikwe na shuka?
SUMRYbina mpngo wa kusafili kuelekea kahama,,je n basi gani lilio ractiory katk makampuni ya mabasi yanayoenda huko
Mkuu hiyo ni Tanga, Kahama hawana luxury busy kama Ratco.Ratco
Bas pand raha leoMkuu hiyo ni Tanga, Kahama hawana luxury busy kama Ratco.
wasalimie kwa minchBas pand raha leo
wasalimie kwa minch