Maalim Seif: Zanzibar iwe na Benki Kuu yake

Maalim Seif: Zanzibar iwe na Benki Kuu yake

Ingawa Kikwete kashikilia kuwa Muungano ni kitu cha maana, lakini huu Muungano wa Nyerere na Karume mimi naona hauna faida kwa pande zote hizi mbili. Wauvunje tu waanze upya kama EAC. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake.

Hivi kuna nini zaidi kwenye huu Muungano?

Kuna mmoja anaweza kunipa faida zake?

tangu nimekufahamu leo ndio ume post kwa kutumia akili na bila ushabiki wa kijinga. Nadhani kuanzia 2012 nitarajie mabadiliko makubwa kutoka kwako
 

Kwa hili nakupinga ndugu. Solution ni kuwa na serikali moja tu. Vinginevyo ni kuongeza gharama za kuendesha hizo serikali na bado misuguano baina ya hizo serikali itatokea. Kila moja itataka ionekane Babu Kubwa zaidi ya Mwenzake. After all tunao mfano mzuri wa United States of America (USA). Zimeungana nchi zaidi ya 40. Je unaskia habari za serikali 40 na ya Muungano? Tusijidanganye! Miungano iliyodumu na yenye tija ni ile ya serikali moja tu!


Nnakubaliana na wewe. Kwmba serikali moja is the best and perfect solution. Lakini ishu ni kwamba it is easy for zanzibari to aggree on 3-gvts than 1-gvt(prove me wrong). They would rather break the union than have one union gvt.
Tuende kwenye win win situation. Wewe unajua watanganyika hawako ok na muumgano huu wa serikali mbili, kwamba tangayika imekufa ilhali zanzibar ipo na ina uwakilishi mkubwa kuliko principles za mathematics with regards to ratios zinavyotaka.
Rafiki wasome vizuri wa zenji ndipo utajua kwamba we have to go our own style, not american or anyone nation's, serkali tatu kama tunataka muungano thatbiti, au tuuvunje tu.
Yaani serikali ya mapinduzi ifutwe! We acha kabisa moto wake.

There are only two choices
either kuifuta ZNz kama ilivyofutwa Tanganyika or to re surrect tanganyika and have three gvts!- la kwanza ni gumu kuliko maelezo(vile mi naona),
wa zenji wakubali kufutwa kwa baraza lao la mapindizi na serikali ya mapinduzi! Ni ngumu kama ccm kukubali tume huru kabisa ya uchaguzi na mchakato huru wa katiba mpya bila rais wa ccm kuhusika.
Think this.
 
Rafiki wasome vizuri wa zenji ndipo utajua kwamba we have to go to our own style. Not american or anyone nation's. Serkali tatu kama tunataka muungano thatbiti, au tuuvunje tu. Yaani serikali ya mapinduzi ifutwe! We acha kabisa moto wake.

There are only two choices
Either kuifuta ZNz kama ilivyofutwa Tanganyika or to re surrect tanganyika and have three gvts!- la kwanza ni gumu kuliko maelezo (vile mi naona). Wa zenji wakubali kufutwa kwa baraza lao la mapindizi na serikali ya mapinduzi! Ni ngumu kama ccm kukubali tume huru kabisa ya uchaguzi na mchakato huru wa katiba mpya bila rais wa ccm kuhusika. Think this.

Basi kama haiwezekani kuwa na serikali moja ni bora uvunjwe tu Kaka. Maana mantiki na maana ya Muungano haitakuwepo tena wakati serikali za kila pande zipo hai. Tusiogope jamani, muungani uvunjwe tu! Haina maana kuendelea kuimba tuna Muungano wakati in reality hakuna kitu kama hicho!
Muungano ni kama koti, likikubana unalivua - Amani Karume

 
ingawa kikwete kashikilia kuwa muungano ni kitu cha maana, lakini huu muungano wa nyerere na karume mimi naona hauna faida kwa pande zote hizi mbili. Wauvunje tu waanze upya kama eac. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake. Hivi kuna nini zaidi kwenye huu muungano? Kuna mmoja anaweza kunipa faida zake?
kwa mara ya kwanza nimependa maelezo yako.
 
Kuna swali mimi huwa naliuliza lakini sijapatiwa jawabu mpaka hivi sasa: Swali lenyewe ni hili: PINDI RAISI WA TANZANIA AKIWA MZANZIBARI JE ANA UHALALI GANI WA KUFANYA MAAMUZI JUU YA MAMBO YASIYO YA MUUNGANO KWA NIABA YA TANGANYIKA/TANZANIA BARA?
 
Ingawa Kikwete kashikilia kuwa Muungano ni kitu cha maana, lakini huu Muungano wa Nyerere na Karume mimi naona hauna faida ....

Hivi kuna nini zaidi kwenye huu Muungano?

Kuna mmoja anaweza kunipa faida zake?

FF, wewe si Magamba damu? Sasa kama sera za magamba kuhusu muungano huzikubali maana yake unaongeza mpasuko ndani ya CCM!
CDM walipogusia kuh muungano CUF wakaja juu dhidi ya Mh Lisu, sasa Seif kazungumza tuone CCM watasemaje.
 
Ingawa Kikwete kashikilia kuwa Muungano ni kitu cha maana, lakini huu Muungano wa Nyerere na Karume mimi naona hauna faida kwa pande zote hizi mbili. Wauvunje tu waanze upya kama EAC. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake.

Hivi kuna nini zaidi kwenye huu Muungano?

Kuna mmoja anaweza kunipa faida zake?

Dada Foxy Faiza,

nakubaliana 100% na hoja pamoja na maswali yako,mimi nafikiri umefika wakati wakuweka USHABIKI pembeni na kuanza kujadili HOJA na mind you the only way of achieving this is by putting yourselves in other side shoes, for those from the mainland swali la kujiuliza ni JE MIMI NINGEKUWA NI MZANZIBAR hii issue(kama zilivyo kero nyingine za Muungano obviously!!) ningeichukuliaje na ni swali hilo hilo WAZANZIBAR wanapaswa kujiuliza zinapokuja kero nyingine za Muungano zinazowahusu WATU WA BARA.

Nafikiri tukishakuwa wawazi ktk kujibu maswali ya namna hiyo itakuwa pia ni rahisi kuuimarisha Muungano, lakini tukiendelea na kutupiana lawama sidhani kama suluhu ya aina yoyote itapatikana. TUACHE USHABIKI NA TUWAELEWE WENZETU!!!

REMEMBER: "the illusion of reasons produces monsters" - Francisco Goya

 
Hawa wamechoka neema ya kula bila kulipa toka Bara. Acha walichokonoe litakapobumburuka wasitulaumu tutakapokuwa tukichelea watakapoanza kunyongana kama jirani zao wa Comoro.
 

Basi kama haiwezekani kuwa na serikali moja ni bora uvunjwe tu Kaka. Maana mantiki na maana ya Muungano haitakuwepo tena wakati serikali za kila pande zipo hai. Tusiogope jamani, muungani uvunjwe tu! Haina maana kuendelea kuimba tuna Muungano wakati in reality hakuna kitu kama hicho!
Muungano ni kama koti, likikubana unalivua - Amani Karume


Ndo hivyo rafiki, muungano tulionao hauko vizuri na utaendelea kuleta matatizo hadi hapo serikali zitakapokuwa ama moja ama tatu.
 
Leo wanataka benki kuu ya zanzibar kesho watadai benki kuu ya pemba na ile ya unguja, "ubaguzi ni kama dhambi ya kula nyama ya mtu"..mwl Nyerere
 
Ndo tulioambiwa "muafaka", haya ni matokeo yake (japo na mema yapo pia), nahisi huyu jamaa atakuja watumbukia nyongo huko mbeleni. Nafikiri anafanya haraka kuendea malengo yake, labda anaangalia na umri kuwa unamtupa mkono. Kibaya zaidi hata huko chamani kwake kuna fukuto hasi kwa mustakabari wa wadhifa wake. Haya baba "sawa sawa" ukipata tumia!
 
Huyu hana lolote anachotaka ni kukwepa balaa linalomwandama ndani ya chama chake.

Very weak, immoral, dissolute, selfish, rumour monger leader. He does not deserve any chance to talk about Bara as we despise him.
 
Namfananisha Maalim Seif na kipaza sauti cha Msikiti. Yani tangu aingie kwenye 'SUK' hakuna anachokifanya zaidi ya uropokaji tu!

this guy seems to be walking on a tight rope - being part of the government of the day, he has his hands tied back such that he cannot critize it - njia pekee ya kutoka au kuonyesha kwamba yupo ni kushadidia mambo ya muungano kwa ku-create confusion zaidi in the already confused "marriage of convenience"
 
..Maalim is not being honest here.

..katafuteni alisema nini kuhusu suala la ZNZ kuwa na central bank wakati wa kampeni.

..kwa kifupi alinukuliwa akisema hana mpango wa kuanzisha benki kuu ya ZNZ ikiwa atashinda.

..halafu nchi zote za Afrika Mashariki sasa hivi zina mipango ya kuwa na sarafu moja na benki kuu ya Afrika Mashariki.

..ZNZ can not afford kujitenga sasa hivi. kuna faida kubwa ya kuwa na mashirikiano ya karibu ya kiuchumi na Tanganyika na zaidi nchi za Afrika Mashariki.
 
..lakini wakati anagombea Uraisi wa ZNZ alisema hana mpango wa kuanzisha benki kuu ya ZNZ.

..katika hili nadhani Maalim Seif anadanganya.
 
Huwa sielewi ni nani anayeutaka huu MUUNGANO maana kwa maneno tunaukiri ila kwa vitendo na matamshi tunaukana
 
Ingawa Kikwete kashikilia kuwa Muungano ni kitu cha maana, lakini huu Muungano wa Nyerere na Karume mimi naona hauna faida kwa pande zote hizi mbili. Wauvunje tu waanze upya kama EAC. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake.

Hivi kuna nini zaidi kwenye huu Muungano?

Kuna mmoja anaweza kunipa faida zake?

Kuendelea kuwepo kwa CCM, Naamini kwa kuwa CCM ni zao la muungano wa vyama viwili vya Tanganyika na Zanzibar, Muungano ukivunjika tu na CCM kwisha itapidi watafute jina jingine labda CCK AU CCM- Tanganyika.
 
Back
Top Bottom