Maalim Seif Sharif chonde chonde acha uhuni

Maalim Seif Sharif chonde chonde acha uhuni

Pole sana Ngongo yaani kwanini wasiwashushe hapo AM hotel au zile hotel mbili mwanzoni kule ukikata kona zilizopo karibu na AM.

Kumbuka kuwa Maalim Sio Muhuni kwani ana Mke wa halali kabisa Bi Awena. Muuni ni yule mwenye kupora watu wake zao kama alivyofanya Dr.

Ungenyoosha tu kuwa muhuni ni yule asiye na mke.

Uhuni wa kupora wake za watu utakuwa umeanza zamani, Zaynab bint Jash mke wa Zayd naye aliporwa huko Middle East na mtu mmoja as powerful as Dokta
 
Mlilete mada hapa ya wanachama wa cuf kwenda kwenye mkutano walioufanya arusha bila ya ushahidi na leo mnaleta viroba vyenu tena.hii inaonyesha wazi cuf inawapa tabu sana wanafiki wakubwa nyinyi na still mods wanaachi mada za uzushi na kukipaka matope chama cha cuf kwa makusudi kuachiwa huu ndani hujadiliwa bila ya ushahidi wowote.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Acha povu kijana. Picha ziliwekwa hapa tukaona makabwela wa Buguruni wamekaa chini na watu wengine wakiwashangaa. Watu wengi wa Arusha walikuwa hawajawahi kuona wanaume wamevaa pedo
 
Wakuu leo ni zamu ya wakazi wa jiji la Arusha kutoa maoni ya uundwaji wa katiba mpya.Ni mategemeo yangu wanaJF wengi wa Jiji la Arusha watashiriki kikamilifu.

Ikumbukwe CUF walifanya mkutano jijini Arusha miezi kadhaa na kukumbwa na kashfa ya kusomba wanachama wake wa mikoa ya Morogoro,Dar na Pemba.Leo tena CUF imesomba wanachama wake kwaajili ya kushiriki na kutoa maoni hapa Arusha.Wanachama wa CUF wameshukia Annex Arusha by Night mkabala na uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid.

Naomba kuwasilisha.
naona ngongo kalewa gongo. gongo na propaganda haviendani kabisa. think twice.
 
Acha povu kijana. Picha ziliwekwa hapa tukaona makabwela wa Buguruni wamekaa chini na watu wengine wakiwashangaa. Watu wengi wa Arusha walikuwa hawajawahi kuona wanaume wamevaa pedo
Utatuletea picha za kwenye mkutano tunataka picha za hayo gari zilizoleta hao watu...arusha nayo pia ni tanzania


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kweli Tanzania kuna watu wenye vichwa vya Panzi! Hivi nyinyi hamujui kama haya maoni ni kwa ajili ya Katiba ya TANZANIA. Mtu anaweza kutoa maoni yake pahala popote almuhimu awe hajawahi kutoa maoni. Mimi niko Pemba huku lakini Sheria inaniruhusu kwenda kutoa maoni hata kule Mikoani boda za Malawi. Mleta mada amekurupuka.
 
Wanajulikana kwa uvaaji wao na muonekano, wanaume wamevaa vipedo na kufuga midevu na wameshika bakora, uamsho hawajifichi bana.

Nakuomba uzitafute clips za Nyerere wakati wa kutafuta Uhuru na hata mwanzoni mwanzoni mwa kupata Uhuru utaona jinsi watu walivyokua wakivaa. Je Nyerere alikua UAMSHO? Wacha akili yako ifanye kazi yenyewe usiruhusu gongo na Kitimoto vikakuharibia.
 
Nakuomba uzitafute clips za Nyerere wakati wa kutafuta Uhuru na hata mwanzoni mwanzoni mwa kupata Uhuru utaona jinsi watu walivyokua wakivaa. Je Nyerere alikua UAMSHO? Wacha akili yako ifanye kazi yenyewe usiruhusu gongo na Kitimoto vikakuharibia.
Ha!ha!ha!ha!
 
Pole sana Ngongo yaani kwanini wasiwashushe hapo AM hotel au zile hotel mbili mwanzoni kule ukikata kona zilizopo karibu na AM.

Kumbuka kuwa Maalim Sio Muhuni kwani ana Mke wa halali kabisa Bi Awena. Muuni ni yule mwenye kupora watu wake zao kama alivyofanya Dr.
OK! kumbe ukiwa huna mke kama Jusa unakuwa mhuni! was not aware.

Uhuni anoongelea Ngongo si wanachama kutoa maoni bali ule wa kubeba watu ili waende wakatoe maoni kwa lengo la kushinikiza matakwa ya Seif Sharif Hamad mroho wa madaraka, hoja yake ya kipuuzi kitoto na kijinga ya muungano wa mkataba ukubalike.

Seif hana sababu za kubeba watu, angeongea na Wazanzibar waondoke katika muungano.
Asichojua Seif ni kuwa hataweza kuwa kiongozi wa Taifa la Tanganyika katika maisha yake.

Anatakiwa awekeze kule kwa mipasho. Hivi baru baru umeo video jinsi makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar alivyokuwa anajishebedua jukwaani! Huyu kweli aje aongoze Tanganyika! Kweli Seif atuletee usultani!!!
 
OK! kumbe ukiwa huna mke kama Jusa unakuwa mhuni! was not aware.

Uhuni anoongelea Ngongo si wanachama kutoa maoni bali ule wa kubeba watu ili waende wakatoe maoni kwa lengo la kushinikiza matakwa ya Seif Sharif Hamad mroho wa madaraka, hoja yake ya kipuuzi kitoto na kijinga ya muungano wa mkataba ukubalike.

Seif hana sababu za kubeba watu, angeongea na Wazanzibar waondoke katika muungano.
Asichojua Seif ni kuwa hataweza kuwa kiongozi wa Taifa la Tanganyika katika maisha yake.

Anatakiwa awekeze kule kwa mipasho. Hivi baru baru umeo video jinsi makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar alivyokuwa anajishebedua jukwaani! Huyu kweli aje aongoze Tanganyika! Kweli Seif atuletee usultani!!!

Nguruvi3,

Wewe ni Mtanzania lakin huijui tanzania. Ni Mtanzania lakin hujui Katiba yako, Mtanzania lakin hujui hata namna ya kupeleka maoni kwenye Tume ya kukusanya maoni ya katiba Mpya.

Labda kwa kukusaidia.

Unaweza peleka maoni mengi kwa kadri ya uwezo wako kwa njia
1. Barua (maandishi)
2. Email
3. Mitandao ya kijamii kama Twiter, FB etc

Suala la kuzungumza ni dogo sana kwani Tume inakaa kwenye mkutano wake mmoja kwa masaa matatu tu. Na si zaidi ya watu 20 wanaoweza kuongea katika mikutano yao.
Kama unataka maoni mengi zaidi na njia rahisi ni kuwahamasisha watu wake waandike kwa njia ya maandishi au kutuma kwa email kwa wingi na yeye kulipia gharama za internet lakin si kupeleka watu.

Sasa kuna sababu gani mtu kupeleka watu huko. pasi na shaka utagundua kuwa maalim Seif ni tishio kwenu ndio maana Mpaka Bara anaogopwa.Nafikiri sasa CHADEMA kwenye kambi yake ARUSHA wameanza kuogopa vivuli vyao wenyewe.

Sasa wewe unataka apewe nchi yenu Dr Slaa ili alete Ukatoliki?

Fikiri kabla kuandika.

 
hawa watu wanaojiita chadema ni wapuuzi tu kwani mambo ya katiba na cuf wapi na wapi? yani utumbo wao ni kama wa nape hawajulikani wanataka nini? msijitie kujua hamuwezi kushinda tanganyika hata mfanyeje njia ya wapinzani kushinda hiyo nchi ni kuungana tu vyenginevyo kwa kugawana majimbo kama wafanyavyo chadumu mnapoteza muda tu, hiyo nchi ni kubwa na wajinga ni wengi na ni rahisi kudanganywa na ccm sasa jifanyeni eti mko wengi ufike uchaguzi muone ccm wanavyoiba.yaani chadema ni ujinga tu sasa wapemba na maoni arusha wapi na wapi? si watatoa maoni kwao? na kama hawataki muungano visiwa vyao vinawatosha watarudi tu kwao kama mkiwafukuza hivi mnafikiri watakufa njaa? mmekanyagwa kweli someni historia muone Zanzibar walikuwa wapi kabla ya muungano, na muangalie jinsi walivyopoteza nafasi nyingi chini ya muungano sasa wakiwa nazo nafasi hizo si mtarudi mkawaombe kama alivyowaomba mtume wenu nyerere hapo kabla.
 
Maalim Seif acha uhuni ? Ama kweli aache uhuni ,ikiwa ameweza kuwatoa watu
Pemba na kuwapeleka Arusha ! KAma hii ni comedi basi imepata wachekaji kibao !
 
Nguruvi3,

Wewe ni Mtanzania lakin huijui tanzania. Ni Mtanzania lakin hujui Katiba yako, Mtanzania lakin hujui hata namna ya kupeleka maoni kwenye Tume ya kukusanya maoni ya katiba Mpya.

Labda kwa kukusaidia.

Unaweza peleka maoni mengi kwa kadri ya uwezo wako kwa njia
1. Barua (maandishi)
2. Email
3. Mitandao ya kijamii kama Twiter, FB etc

Suala la kuzungumza ni dogo sana kwani Tume inakaa kwenye mkutano wake mmoja kwa masaa matatu tu. Na si zaidi ya watu 20 wanaoweza kuongea katika mikutano yao.
Kama unataka maoni mengi zaidi na njia rahisi ni kuwahamasisha watu wake waandike kwa njia ya maandishi au kutuma kwa email kwa wingi na yeye kulipia gharama za internet lakin si kupeleka watu.

Sasa kuna sababu gani mtu kupeleka watu huko. pasi na shaka utagundua kuwa maalim Seif ni tishio kwenu ndio maana Mpaka Bara anaogopwa.Nafikiri sasa CHADEMA kwenye kambi yake ARUSHA wameanza kuogopa vivuli vyao wenyewe.

Sasa wewe unataka apewe nchi yenu Dr Slaa ili alete Ukatoliki?

Fikiri kabla kuandika.

Nasema hivyo kwababu ZNZ wanataka zamu za Urais. Sasa ikiwa hivyo halafu Seif akawa Rais(Mungu pishilia mbali na inshallah haitatokea hata kwa bahati mbaya) itakuwa nini sijui.

Ninakuhakikishia kuwa Seif ni tishio ZNZ, akija huku anapewa ndege ya kusafiria na wala hakuna ajuaye Seif ni nani.
Yeye akazane kuwaondoa Wazanzibar katika ukoloni na kuwakabidhi kwa mwarabu.

Wenye ZNZ yao wameshagundua na wanasimamana kusema wazi, a a! Minyororo ilishakatwa Jan 12 1964 nchi ikarudi kwa wazawa. Haiwezekani mtu achape watu viboko halafu akabidhi kiboko hicho kwa mjukuu wake naye achape!
No way Seif!

Seif ving'ora mwisho chumbe bro! nchi ya Tanganyika wewe ni raia tu kama mwingine.
 
Nasema hivyo kwababu ZNZ wanataka zamu za Urais. Sasa ikiwa hivyo halafu Seif akawa Rais(Mungu pishilia mbali na inshallah haitatokea hata kwa bahati mbaya) itakuwa nini sijui.

Ninakuhakikishia kuwa Seif ni tishio ZNZ, akija huku anapewa ndege ya kusafiria na wala hakuna ajuaye Seif ni nani.
Yeye akazane kuwaondoa Wazanzibar katika ukoloni na kuwakabidhi kwa mwarabu.

Wenye ZNZ yao wameshagundua na wanasimamana kusema wazi, a a! Minyororo ilishakatwa Jan 12 1964 nchi ikarudi kwa wazawa. Haiwezekani mtu achape watu viboko halafu akabidhi kiboko hicho kwa mjukuu wake naye achape!
No way Seif!

Seif ving'ora mwisho chumbe bro! nchi ya Tanganyika wewe ni raia tu kama mwingine.

Naona sasa umeanza kuchanganyikiwa.

Sasa hebu jiweke wazi. tatizo lako ni Seif kupewa urais wa Tanzania? Au Mznz kupewa urais wa Tanzania. au nataka Dr Padre Slaa ndie mwenye hati miliki kutawalaTanzania?

kama vong'ora kwa maalim Seif hata aalipokuwa Arusha kwenye mkutano vilikuwepo? sasa shida ipo wapi?

Jiweke wazi ili tukuongoze katika mawazo yako.
 
Naona sasa umeanza kuchanganyikiwa.

Sasa hebu jiweke wazi. tatizo lako ni Seif kupewa urais wa Tanzania? Au Mznz kupewa urais wa Tanzania. au nataka Dr Padre Slaa ndie mwenye hati miliki kutawalaTanzania?

kama vong'ora kwa maalim Seif hata aalipokuwa Arusha kwenye mkutano vilikuwepo? sasa shida ipo wapi?

Jiweke wazi ili tukuongoze katika mawazo yako.
Yoyote mwenye akili timamu anaweza kuongoza nchi hii, katika hao Maalim Seif Sharif Hamad hayumo, hana sifa, hafai na kibaya zaidi hana moral authority ya kusimama na kuongelea jambo lolote lile linalohusu Tanganyika.

Sina tatizo na Maalim Seif kama binadamu, nina tatizo na maadili yake ya kiroho, ulafi, unafiki, uongo na uzandiki. Umenielewa sheikh

Ahsante, vipi kunani huko Oman? vijana na shemeji hawajambo! wasalamie
 
nini yalikuwa matarajio na mategemeo yako kwenye hili. kuna njia nyengine yoyote nzuri wanaweza pita zaidi ya hii. huu ni utaratibu uliozoeleka na kama wasemavyo, Asili haipotei.
 
Back
Top Bottom