Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,199
- 37,526
Wakuu leo ni zamu ya wakazi wa jiji la Arusha kutoa maoni ya uundwaji wa katiba mpya.Ni mategemeo yangu wanaJF wengi wa Jiji la Arusha watashiriki kikamilifu.
Ikumbukwe CUF walifanya mkutano jijini Arusha miezi kadhaa na kukumbwa na kashfa ya kusomba wanachama wake wa mikoa ya Morogoro,Dar na Pemba.Leo tena CUF imesomba wanachama wake kwaajili ya kushiriki na kutoa maoni hapa Arusha.Wanachama wa CUF wameshukia Annex Arusha by Night mkabala na uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid.
Naomba kuwasilisha.
Ikumbukwe CUF walifanya mkutano jijini Arusha miezi kadhaa na kukumbwa na kashfa ya kusomba wanachama wake wa mikoa ya Morogoro,Dar na Pemba.Leo tena CUF imesomba wanachama wake kwaajili ya kushiriki na kutoa maoni hapa Arusha.Wanachama wa CUF wameshukia Annex Arusha by Night mkabala na uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid.
Naomba kuwasilisha.