Mkuu hapa tunasaidiana. Naomba unisaidie nimfahamu Mwenyekiti wa CUF kwa sasaNi vizuri humjui maana hujui na hutajua kwa sababu hutaki kujua. Mwenyekiti wa CCM anajulikana ni malaika na atamwachia malaika mwingine mwezi wa sita.
Hawa wenyeviti wa CCM wana kazi moja tu nayo ni kuizika CUF kwa nguvu za dola. Lakini wanasahau wanashindani na hiari ya mioyo ya wapiga kura. HAZIKWI MTU ANAYEPENDWA TOKA MIYONI. DOLA ZINAPALILIA KUATAMIA VYANGU VYAKO NA VYAKO VYAKO SI VYANGU
uungwana wa Maalim seif ndio umekupa jeuri ya kuandika haya .Binafsi Napata shida kujuwa aina ya nyongo atatema maana kila upande wamezungukwa, kwangu kama mtanzania ni bora angeachana na siasa total maana hana pakupita huo ndio ukweli. Hakuna dunian double agent alie wahi kushinda vita ya moyo wake ni lazima afike mahali anyooshe mikono na kushindwa, siri ya zenj ni kubwa na kila anaye ijuwa mara nyingi harudi kusimulia ameona nini. MAALIM SEMA SIASA BASI MAANA TANGU UMEANZA KUULA MFUPA HUU MAGEGO YAONGEZEKA NA MFUPA HAUJA UVUNJA HATA KIPANDE...... MFUPA ULIO MSHINDA FISI WEWE HUUWEZI
anaitwa Twaha Taslima .Mkuu hapa tunasaidiana. Naomba unisaidie nimfahamu Mwenyekiti wa CUF kwa sasa
Ila mavi ya kitanzania.utajua tu hiyo kesho ikifika , nchi ambayo matundu ya vyoo vya shule yanajengwa na wazungu , kupuuza hela za MCC ni kujitafutia matatizo makubwa sana .
Yale aliyoongea kama ulikuwa msalani basis nikujuze yameleta matunda na umeyaona MCC wamekata misaada. Utaishije we mbaombaoHahahahahaaaaaa. Kwani yale waliyoongea hivi majuzi hayajaeleweka? Au kwa vile Dunia imewapuuza?

JPM kesha amua masikini wote wanaotaka msaada waondolewe DSM. Namuunga mkono na miguu. Subiri kidogo atakufikia na kukuondoa. Nakushauri jisaidie kichwani hutahitaji msaada nje ya wewe binafsi. Kwani wewe mwenyekiti wa akili zako ni nani? Kama hakusaidii kamtafute mwenyekiti wa CCM akusaidie au wakusaidie wale jamaa wa Team 46 +1 wanaosaidiwa kufikiri na Nepi na Marope.Mkuu hapa tunasaidiana. Naomba unisaidie nimfahamu Mwenyekiti wa CUF kwa sasa
mpeni unabii !kesho sasa anakuja mzee mwenyewe Maalim Seif ambaye utafiti unaonyesha kwamba anakubalika kwa 95% na wazanzibar , usikose tukio hili la kihistoria tangu kuumbwa kwa nchi hii .
Arudie kujitangaza upya !Wawaite BBC na CNN na Aljazeera ili wasikike
Wawaite BBC na CNN na Aljazeera ili wasikike
Maalim Seif ni Shujaa!ataongea kama mgombea urais aliyeshinda oct 25 .