ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Jana Maalim Seif, makamu wa kwanza wa rais SMZ, alitua Mwanza airport na kusababisha kama kawaida adha kubwa kwa watumiaji wengine wa barabara, baada ya vipenyo na barabara zote alizopanga kupitia kufungwa ili yeye apite kwa amani na kwa heshima kubwa kama kiongozi.
Alitokea airport, akaenda kupata lunch Gold Crest Hotel, akaenda kwa Kabwe Wilson ofisi za jijini na baadae kuelekea wilayani Kwimba.
Masuala ninayojiuliza ni haya:
(a) Maalim Seif, ana wajibu kikatiba wa kufanya ziara jijini Mwanza ikizingatiwa yeye ni kiongozi wa SMZ?
(b) Na kwimba alienda kufanya nini?
Alitokea airport, akaenda kupata lunch Gold Crest Hotel, akaenda kwa Kabwe Wilson ofisi za jijini na baadae kuelekea wilayani Kwimba.
Masuala ninayojiuliza ni haya:
(a) Maalim Seif, ana wajibu kikatiba wa kufanya ziara jijini Mwanza ikizingatiwa yeye ni kiongozi wa SMZ?
(b) Na kwimba alienda kufanya nini?