Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 98
Nadhani wafuasi wa CHADEMA mmeamua kupindisha ukweli makusud! Hamadi Rashidi ndiye mtuhumiwa na wenzake kwa kuvunja katiba na kukivuruga chama, ndio maana akawa-charged na ile kamati ya maadili na baadaye kamati tendaji. Kama HR angewasilisha madai yake dhidi ya Seif kama anayo kwenye vikao halali, kamwe Seif asingeongoza vikao vya kumjadili mwenyewe! Inaonekana munamtetea running mate wa LOWASA kwa ticket ya CHADEMA 2015!Mdogo wangu Mtatiro, kinachoongelewa na watu hapa ni kitu kinachoitwa 'good governance principles' na 'conflict of interest'. Hata ueleze na kufafanua vipi bado haileti picha nzuri kwa MTUHUMIWA (Seif Shariff) kukalia kiti cha mwenyekiti wakati wa kujadili suala la nidhamu linalomhusu MTUHUMU (Hamad Rashid). Hakuna haki hapo hata iweje.