Maalim Seif amzika Kinana milele huko Kusini

Maalim Seif amzika Kinana milele huko Kusini

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, amesema anashangazwa sana Kinana akipita akijenga na kuziba ufa wakati nyumba zimeshaanguka ,mwambieni Kinana kuna mifiko ya saruji ameisahau kuondoka nayo.
Maalim-Seif--december1-2014.jpg
 
Hongera kamanda wa ukawa..
hongereni watu wa zanzibar. Nawakubali sana watu ya zanzibar..asante maalim seif
 
Huyo mpemba mwaka wa wa 29 huu kuanzia 1985 anauota urais wa znz. Alianza hayati idrisa, akaja salmin akaja karume,shein atakuja na mwingine n.k umekataliwa znz sembuse kusini bila ya uongozi shupavu wa ccm ungekuwa ushawauzawapemba kwa waarabu wewe
 
Kutaja neno ccm mbele za watu ni sawa na kutaja neno nyoka mbele za watu!
 
Huyo mpemba mwaka wa wa 29 huu kuanzia 1985 anauota urais wa znz. Alianza hayati idrisa, akaja salmin akaja karume,shein atakuja na mwingine n.k umekataliwa znz sembuse kusini bila ya uongozi shupavu wa ccm ungekuwa ushawauzawapemba kwa waarabu wewe

Unafiki huo,na wewe mnafiki, lukuvi alikuwa arabuni oman kufanya nini? Au muarabu mbaya kiatu chake dawa.
 
Huyo mpemba mwaka wa wa 29 huu kuanzia 1985 anauota urais wa znz. Alianza hayati idrisa, akaja salmin akaja karume,shein atakuja na mwingine n.k umekataliwa znz sembuse kusini bila ya uongozi shupavu wa ccm ungekuwa ushawauzawapemba kwa waarabu wewe

Weye punguani nini? Nani asiyejua Seif ameshinda chaguzi zote Zanzibar chini ya mfumo wa vyama vingi. Hila za CCM ndio zimempokonya urais.
 
Huyo mpemba mwaka wa wa 29 huu kuanzia 1985 anauota urais wa znz. Alianza hayati idrisa, akaja salmin akaja karume,shein atakuja na mwingine n.k umekataliwa znz sembuse kusini bila ya uongozi shupavu wa ccm ungekuwa ushawauzawapemba kwa waarabu wewe

MAALIM SEIF hajawahi kushindwa uchaguzi wa zanzibar , kama unabisha muulize mzee moyo .
 
Kutaja neno ccm mbele za watu ni sawa na kutaja neno nyoka mbele za watu!

Kuitaja CCM mbele za watu wenye fikra ni Sawa na kutapika sehemu ya starehe au kutaja mavi ukiwa hotelini. Ccm imebaki tu na wale waliokosa ufahamu wa mawazo mapya mfano wa wale panya wakubwa wanaoishi chooni tu. 🙂
 
Kuitaja CCM mbele za watu wenye fikra ni Sawa na kutapika sehemu ya starehe au kutaja mavi ukiwa hotelini. Ccm imebaki tu na wale waliokosa ufahamu wa mawazo mapya mfano wa wale panya wakubwa wanaoishi chooni tu. 🙂

Umesahau na wale wanonufaika na system ilivyo sasa ndo wanao itetea ccm siku hizi.
 
kupokea kadi ya fisiem ni sawa na "mlokole" kupokea tunguli za uganga na uchawi.
 
Subirini uchaguzi wa serikali za mitaa ndio mtaona CCM inakufa au inaimarika! Hapo ndipo mtajua delete CCM au delete opposition!

Mikutano ya Comrade Kinana imetajwa kuwa yenye mafanikio makubwa sana kwani watu wa kusini ni waelewa sana ingawa muda mwingine nyie UKAWA mnawatukana kwa misimamo Yao!

CUF kusini sahau kupata hata mtaa yangu macho Mbunge wa Lindi mjini kakalia kuti kavu kila mtu hadi mtoto aliyopo tumboni analijua Hilo na 2015 he must go!

Nyie shangilieni mitandaoni CCM ipo kikazi zaidi!
 
Kinana ana kazi kubwa Kusini

Kinana amefanya kazi kubwa sana Kusini! Kwa hakika Kinana wewe ni zaidi ya Katibu" Kibanda"

Haya maneno ya Kibanda na kila mwenye akili hujuwa Hilo! Nasikia anataka tena Ziara ya siku 50 mikoani kuanza punde!
 
Kuitaja CCM mbele za watu wenye fikra ni Sawa na kutapika sehemu ya starehe au kutaja mavi ukiwa hotelini. Ccm imebaki tu na wale waliokosa ufahamu wa mawazo mapya mfano wa wale panya wakubwa wanaoishi chooni tu. 🙂

Wewe ndio unaogopa sie tunataja tena kwa Madaha na maringo makubwa! Hatuogopi kutaja hata siku Moja!
 
Back
Top Bottom