Dhalili humpata mwenye akili...chizi haaibiki kwa kutembea mtupuPro pesa Li pumba amejidhalilisha sana
Slaa ana haya, huwezi kumfananisha na LipumbaNafikiri lipumba amepoteza dira...hana tofauti na slaa au mtikila the late.
Not in AfricaPolisi should wake up and do the right thing, na wao waache kutumika.
Maalim anatakiwa amwombe radhi m/kiti wake mapema kabla hajasimamishwa kwa kuchelewesha taarifa kwa kauli ya HAPA KAZI TU ni ya serikali ambapo ndani yake wote tunajisalimisha.Seif shariff Hamad Alitakiwa aende peke yake kama katibu mkuu akiwa amebeba makbrasha ya taarifa kumpelekea mheshimiwa mwenyekiti wa CUF taifa mheshimiwa Lipumba.Sasa yeye anasema atakwenda na baraza kuu zima,wabunge,madiwani,wana CUF!!! ebo.Yeye na hilo kundi lake ndio wanaenda leta vurugu kwenye ofisi ya mheshimiwa mwenyekiti wa CUF.Kama kamwita Seif katibu mkuu ofisini hao wengine kinachowapeleka ofisi ya buguruni ni nini? Si wanataka kumfanyia vurugu tu mheshimiwa mwenyekiti wao? Polisi inabidi wamsaidie Lipumba DHIDI YA HILI GENGE LINALOTAKA KWENDA KUFANYA VURUGU BUGURUNI.
Inasikitisha kweli.Not in Africa
Hii nchi Ina mambo!Hii barua umeipata?
![]()
Tunaomba Ufafanue Kauli yako. Ni kwa vipi polisi wanatumika? wanatumika katika mambo/masuala gani na wanatumiwa na nani na kwa faida ya nani? Nomba ufafanue ili nikuelewe maana umesema "polisi wanatumika"..Polisi should wake up and do the right thing, na wao waache kutumika.
Sheria si ndio hiyo mkuu,kusikiliza maagizo ya mwenyekiti halali.Polisi badala ya kufuata sheria, wanafuata "ushauri"
Mpwa welcome back...
