Maalim Seif amvaa IGP

Maalim Seif amvaa IGP

Mbona hakwenda polisi kukana kuwa wale ndugu zangu waki zanzibari waliokamatwa na silaha ambapo wamedai kuwa wametumwa kuja kuongeza ulinzi ofisini kuwa hawakutumwa na uongozi??????

Taja majina mawili ya hapo ndugu zako walokamatwa na polisi
 
Duh Huyu prof anachokitafuta atakipata

Ova
Wamesharudisha jengo kwa mwenyewe! Sasa aende Zbar akahamie na wale wapiga karate wake! Shwain! Prof njaa imehamia kichwani!
 
Back
Top Bottom