Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya kutaka taasisi za zanzibar zishirikishwe ilikuwa na mashiko. Amemtuhumu ndugai kwa kutumia ubabe wa kumtoa mbowe wakati anajuwa kiongozi huyo wa kambi ya upinzani bungeni ana haki sawa na waziri mkuu. Mkutano unaendelea, maelfu ya watu wamehudhuria.
Ni mtu gani aliye hai aisyekubali kwamba Mbowe ni jembe?
Watakubali tu kwamba Chadema ni chama cha ukombozi!
Watakubali tu kwamba vuguvugu la mabadiliko M4C ni ya kudumu na ndiyo njia pekee ya kumkomboa Mtz,
Watakubali tu Chadema hakikurupuki katika hoja zake, chama chenye viongozi makini wanaosimamia kile wanachokiamini angali msimamo wa Kamanda Mbowe kwa askari waliolipua mabomu soweto.... si mmeonaaa? haponi mtu hapa
Watakubali tu kwamba Chadema kimejipanga na mbinu zote za maccm zinazidi kukiimarisha chama,
Watakubali tu kwamba Chadema ni chama cha Vijana waliona shahuku ya mabadiliko hata kama yatakuwa hasi,
watakubali tu kwamba Chadema kimekuja kuwashika CCM, kuwakumbusha muda wa kudangnya wananchi umekwisha, sera za uongo hazina mashiko tena, issue ni kutoa hoja si kupuliza vuvuzela kama wanavyofanya majukwaani akinia .....
Watakubali tu kwamba chadema kimesimama kitaifa na kimataifa, si unaona yaliyomkuta yule balozi wa kichinachina kule shy?
Watakubali tu kwamba chadema ......jazia mwenyewe