Maalim Seif ampongeza Mbowe

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Nov 27, 2011
1,132
185
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya kutaka taasisi za zanzibar zishirikishwe ilikuwa na mashiko. Amemtuhumu ndugai kwa kutumia ubabe wa kumtoa mbowe wakati anajuwa kiongozi huyo wa kambi ya upinzani bungeni ana haki sawa na waziri mkuu. Mkutano unaendelea, maelfu ya watu wamehudhuria.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya kutaka taasisi za zanzibar zishirikishwe ilikuwa na mashiko. Amemtuhumu ndugai kwa kutumia ubabe wa kumtoa mbowe wakati anajuwa kiongozi huyo wa kambi ya upinzani bungeni ana haki sawa na waziri mkuu. Mkutano unaendelea, maelfu ya watu wamehudhuria.

Kawaumbua wale walioleta thread humu kwamba Seif hatambui muungano huo na Chadema.
 
tuishukuru sana CCM kwa kuwaunganisha wapinzani. big up CCM! keep it up! yaani CCM sasa ndio wanafanya kazi wanayotakiwa kuifanya, kuleta muungano wa vyama, taasisi za dini na wananchi wengi tu kwa ujumla. huo ndio mshikamano! ni lini CCM walifanya jema namna hii kwa nchi yetu? sikumbuki...
 
Safi sana, asiishie hapo:

Atangaze rasmi Kujiondoa kutoka serikali ya Zanzibar ili CUF iungane Na Chadema tumg'oe mkoloni mweusi
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya kutaka taasisi za zanzibar zishirikishwe ilikuwa na mashiko. Amemtuhumu ndugai kwa kutumia ubabe wa kumtoa mbowe wakati anajuwa kiongozi huyo wa kambi ya upinzani bungeni ana haki sawa na waziri mkuu. Mkutano unaendelea, maelfu ya watu wamehudhuria.

Ahsante Shujaa wa Zanzibar Maalim Seif...

CC@Ritz
 
maccm yameumbuka na ile thread yaliyoleta eti maalim seif amekataa muungano
 
Have been expecting it for a long time, huu ni mwanzo, ccm isipojisafisha ndani na kuacha njia zake ovu, hakika kitasambaratika. CDM na CUF ni vyama ambavyo vinaweza kusababisha lolote kwa jinsi vilivyo na ushawishi. Kitakachotokeani kwamba uovu ndani ya ccm ukiendelea utasababisha uasi, uasi ukiendelea mwisho wa siku ccm itakuwa inaendeshwa na upinzani na ndo mwisho wa chama kimeshika hatamu.
 
Katika hali isiyokuwa
ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na
kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana
kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa
naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya kutaka
taasisi za zanzibar zishirikishwe ilikuwa na mashiko. Amemtuhumu ndugai
kwa kutumia ubabe wa kumtoa mbowe wakati anajuwa kiongozi huyo wa kambi
ya upinzani bungeni ana haki sawa na waziri mkuu. Mkutano unaendelea,
maelfu ya watu wamehudhuria.

wacha uongo wewe. mkutano gani amehutubia maalim seif kumsifu mbowe? haitakuja kutokea hata siku moja
 
seif ni boya kama alivyo mbowe.lakini nawasikitikia sana hawajui wanalofanya kwa kutaka kuwaangamiza watanganyika
 
Back
Top Bottom