SlaaSlaala
Senior Member
- Apr 30, 2013
- 107
- 27
Mimi leo nilikuwepo kibanda maiti na nimemsikia maalim kwa masikio yangu, yote anayoyasema mleta uzi ni ya kweli.
Maalim amesema kwamba Mbowe anastahiki sifa na anafagam wajibu wake kama KUB na kwa mujib wa sheria Ndugai hakupaswa kumwambia akae chini na huo ndio utaratibu wa mabunge ya commonwealth countries kwamba KUB anapaswa kusikilizwa anapikuwa na hoja, pia kamkosoa Ndugai kutumia uimla na udikteta wa kutofata sheria za Bunge na kwamba hata mswada ulivyopitishwa sio halali kwa mujibu wa sheria za bunge kukitokea tokeo kama lile spika anapaswa kuhairisha kikao cha bunge.
Maalim amesema kwamba Mbowe anastahiki sifa na anafagam wajibu wake kama KUB na kwa mujib wa sheria Ndugai hakupaswa kumwambia akae chini na huo ndio utaratibu wa mabunge ya commonwealth countries kwamba KUB anapaswa kusikilizwa anapikuwa na hoja, pia kamkosoa Ndugai kutumia uimla na udikteta wa kutofata sheria za Bunge na kwamba hata mswada ulivyopitishwa sio halali kwa mujibu wa sheria za bunge kukitokea tokeo kama lile spika anapaswa kuhairisha kikao cha bunge.