Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,956
- 134,037
mmh mwaka huu tutackia mengi!
utasikia pia toka kwa Nape kuwa Maalim hana shukrani kwa kupewa ubosi na Shein,kama alimwambia Mbatia kwa kupewa ubunge na JK.mbio za mwenge zimeleta majanga
mmh mwaka huu tutackia mengi!
wewe mama, kaa ukijua kuwa haitakuja kutokea Maalim kumpongeza Mbowe. sababu zinaeleweka. mnaanzisha vithread ambavyo havina kichwa wala miguu
sana mkuu. ila kuwa makini na kila unachokisikia. wengine wapo humu kutunga uongo kama uzi huu unavyoonekana
acha uongo wewe. kwanza maalim hayuko unguja leo. yupo Pemba. ona mnavyoumbuka
seif ni boya kama alivyo mbowe.lakini nawasikitikia sana hawajui wanalofanya kwa kutaka kuwaangamiza watanganyika
wacha uongo wewe. mkutano gani amehutubia maalim seif kumsifu mbowe? haitakuja kutokea hata siku moja
wacha uongo wewe. mkutano gani amehutubia maalim seif kumsifu mbowe? haitakuja kutokea hata siku moja
wewe mama, kaa ukijua kuwa haitakuja kutokea Maalim kumpongeza Mbowe. sababu zinaeleweka. mnaanzisha vithread ambavyo havina kichwa wala miguu
acha uongo wewe. kwanza maalim hayuko unguja leo. yupo Pemba. ona mnavyoumbuka
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya kutaka taasisi za zanzibar zishirikishwe ilikuwa na mashiko. Amemtuhumu ndugai kwa kutumia ubabe wa kumtoa mbowe wakati anajuwa kiongozi huyo wa kambi ya upinzani bungeni ana haki sawa na waziri mkuu. Mkutano unaendelea, maelfu ya watu wamehudhuria.
sana mkuu. ila kuwa makini na kila unachokisikia. wengine wapo humu kutunga uongo kama uzi huu unavyoonekana
Hata siku moja KUB hawezi kuwa na hadhi sawa na PM. Huku nikujidanganya kwa akili chache na kujipa hadhi usiyo nayo. Mbowe yeye ni kiongozi wa upinzani, na hata baraza lake la mawaziri linaitwa baraza kivuli. Na maana ya kivuli ni kitu kisicho halisi (kwa maana nyingine Feki). Kwa hiyo yeye ni kiongozi feki wa baraza la mawaziri kivuli.
acha uongo wewe. kwanza maalim hayuko unguja leo. yupo Pemba. ona mnavyoumbuka
kawaumbua wale walioleta thread humu kwamba seif hatambui muungano huo na chadema.
Hata siku moja KUB hawezi kuwa na hadhi sawa na PM. Huku nikujidanganya kwa akili chache na kujipa hadhi usiyo nayo. Mbowe yeye ni kiongozi wa upinzani, na hata baraza lake la mawaziri linaitwa baraza kivuli. Na maana ya kivuli ni kitu kisicho halisi (kwa maana nyingine Feki). Kwa hiyo yeye ni kiongozi feki wa baraza la mawaziri kivuli.