Maalim Seif akataa maamuzi ya ZEC, atoa tamko zito

attachment.php
 
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.

kumbe na wewe ni 'shoga' .....yake eeh?
 
Maalim atakuwa bogus,
Hadi sasa ana kesi ya kujibu kwa Taifa la Zanzibar, kwa level yake hakupaswa kuachwa akijitangazia matokeo, alikuwa anajua hatma yake na kwanini alifanya jambo ambalo litahatarisha usalama wa Taifa! Anawezaje kukaidi mamlaka ya tume? Uhuru wa tume unajengwaje ikiwa wewe unaitangulia kutangaza matokeo yako?
Kesi ya maalim seif ni ya kihaini kwa kuwa ameingilia mamlaka ya juu kabisa katika uchaguzi na anajua kwa kufanya hivyo anahatarisha usalama wa nchi!
Mlizoea kumwibia "ushindi" wake sasa ameamua kuwa ngangari.
Sawa sawa. sawasawa waheshimiwa wananchi.

This time Seif amewabana ipasavyo vibaka wa "domokrasia."





Goli la mkono limeshindikana.
 
Last edited by a moderator:
Naona umeamua kuijaza akili yako hengo moja, je leo Hashim Rungwe akitangazwa rais kwa namna yoyote ile utakubali?

Tizama akili matope nyingine hii,mie nimekujibu kulingana na hoja yako ya kuhalalisha ufutwaji wa uchaguzi eti kwa sababu Maalim amejitangaza mshindi,halafu nawe unatoa mfano unaolingana na wangu,narudia,je Fahmi Dovutwa au Rungwe akijitangaza mshindi uchaguzi unafutwa?kama sio,je kuna uhalali gani wa kufuta uchaguzi wa Zenj kwasababu Maalim amejitangaza mshindi?
 
Kwa ufupi kazungumziaa yafuatayo.

1. Mwenyekiti wa ZEC hana mamlaka ya kufuta uchaguzi

2. Anahoji kwa nini Makamu wa ZEC akamatwe na vikosi vya ulinzi na kupelekwa pasipojulikana

3.Kama uchaguzi umefutwa kutokana na dosari, basi hata wa rais wa jamhuri ufutwe kwani wote hao waliandikishwa kwenye daftari moja na kudumu zanzibar na walipiga kura kituo kimoja.

4. Hatambui maamuzi ya mwenyekiti wa ZEC kwani hakuna kikao cha tume kilichokaa kukubaliana na hilo na pia kusema kwamba hayo ni maamuzi binafsi ya mwenyekiti

5. Anaiomba umoja wa kitaifa na nchi jirani kuingilia kati



ndio wamesha futa ss yy anatakaje
 
Last edited by a moderator:
Lowassa kashindwa kihalali

Inawezekana alikua ashindwe kihalali...ila hizi kontena za "mahindi" zinazofumaniwa ndio zinaweka doa kwenye ushindi wa CCM. Binafsi mimi ni supporter wa lowassa..ila ni mwana demokrasia kwanza. JPM angeshinda kwa njia isiyokua na dosari ningefurahia ushindi wake maana ni maamuzi ya wengi. Ila hizi dosari ndio zinazua sana maswali.
 
ndio wamesha futa ss yy anatakaje

Yani wewe unaona sawa mtu mmoja kwenda kujiamulia kufuta uchaguzi wa nchi nzima? Walau basi angeitisha kikao cha tume ili waamue pamoja. Bado kungekua na malalamishi lakini angalau kungekua na uhalali.
 
Hivi viongozi wetu wakoje?Kikwete na Shein mkoje?Hivi kweli hamuoni kwamba mtatuingiza kwenye janga kubwa.Jamani tunaomba,chonde chonde tuoneeni huruma wenzenu.
Kwa ufupi kazungumziaa yafuatayo.

1. Mwenyekiti wa ZEC hana mamlaka ya kufuta uchaguzi

2. Anahoji kwa nini Makamu wa ZEC akamatwe na vikosi vya ulinzi na kupelekwa pasipojulikana

3.Kama uchaguzi umefutwa kutokana na dosari, basi hata wa rais wa jamhuri ufutwe kwani wote hao waliandikishwa kwenye daftari moja na kudumu zanzibar na walipiga kura kituo kimoja.

4. Hatambui maamuzi ya mwenyekiti wa ZEC kwani hakuna kikao cha tume kilichokaa kukubaliana na hilo na pia kusema kwamba hayo ni maamuzi binafsi ya mwenyekiti

5. Anaiomba umoja wa kitaifa na nchi jirani kuingilia kati

 
Last edited by a moderator:
Yani wewe unaona sawa mtu mmoja kwenda kujiamulia kufuta uchaguzi wa nchi nzima? Walau basi angeitisha kikao cha tume ili waamue pamoja. Bado kungekua na malalamishi lakini angalau kungekua na uhalali.

tunarudia kupiga kura fullstop!
 
tunarudia kupiga kura fullstop!

Ndio maana tunasema bora mrudishe utawala wa chama kimoja tuachane na hizi chaguzi za hadaa. Yani mkishindwa mnaforce kufuta matokeo na kurudia? Na hata baada ya kurudia bado mtashindwa na tunajua madaraka hamtaachia. Mtakachofanya ni kurekebisha maeneo ambayo hamkuchakachua vizuri
 
we ni mwehu kama walivyo wehu wengine

Uroho wenu wa madaraka umeonakana wazi kwa dunia nzima sasa mnabaki kutukana tu. Ni wazi hamwezi kuachia dola. Hata kule bungeni mlishatuambia wazi hamtatoka kwa makaratasi..lazma mpinduliwe.
 
Ndio maana tunasema bora mrudishe utawala wa chama kimoja tuachane na hizi chaguzi za hadaa. Yani mkishindwa mnaforce kufuta matokeo na kurudia? Na hata baada ya kurudia bado mtashindwa na tunajua madaraka hamtaachia. Mtakachofanya ni kurekebisha maeneo ambayo hamkuchakachua vizuri

hatupo huko! seif alijitangaza mwenyewe na akatoa na takwimu nyingine kipotoshaji ambayo ilikuwa ni kazi ya ZEC kumtangaza ama kutangaza matokeo, kwanza anatakiwa ashtakiwe kwa udhalimu alio ufanya
 
hatupo huko! seif alijitangaza mwenyewe na akatoa na takwimu nyingine kipotoshaji ambayo ilikuwa ni kazi ya ZEC kumtangaza ama kutangaza matokeo, kwanza anatakiwa ashtakiwe kwa udhalimu alio ufanya

Seif kujitangazia matokeo ameanza uchaguzi huu? Mbona chaguzi za nyuma alikua anajitangazia na sheria hii hii ilikuwepo lakini hamkufuta uchaguzi? Kama kujitangazia matokeo imewakuna..mngemshtaki akalipe hiyo fine ya laki 5. Kilichotokea safari hii ni kwamba matokeo aliyotangaza yalienda sawasawa na yaliyokua ZEC. Ndio maana jeshi lilienda bwawani jana likawatimua waangalizi na waandishi wa habari. Na ndio maana mliamua kumshinikiza kibaraka wenu jecha mpaka akatangaza kufuta matokeo akiwa mafichoni na bila kushirikisha tume. Hatua ya kufuta uchaguzi ni kubwa na msingeichukua kama mlikua mnaenda kushinda huo uchaguzi.
 
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.

wewe 100% utakuwa mchawi siyo bure.
 
hatupo huko! seif alijitangaza mwenyewe na akatoa na takwimu nyingine kipotoshaji ambayo ilikuwa ni kazi ya ZEC kumtangaza ama kutangaza matokeo, kwanza anatakiwa ashtakiwe kwa udhalimu alio ufanya
Katika Majimbo 31 ambayo Tume walishayatangaza yalikuwa sawa sawa na matokeo aliyojitangazia Maalim!
Yalikuwa yamebaki Majimbo 23 kati ya hayo 18 ni ya Pemba ambayo yote wameshinda CUF na kati ya 5 ya Unguja 1 ni na CUF.
 
Katika Majimbo 31 ambayo Tume walishayatangaza yalikuwa sawa sawa na matokeo aliyojitangazia Maalim!
Yalikuwa yamebaki Majimbo 23 kati ya hayo 18 ni ya Pemba ambayo yote wameshinda CUF na kati ya 5 ya Unguja 1 ni na CUF.

yeye ndio kavuruga utaratibu kwa kukiuka maadili ya tume!
 
Back
Top Bottom