Nikikaa kimya mawe yataongea.Si ukae kimya mkuu kuliko kujitia aibu hapa.
Unajua kitaaluma Maalimu ni nani? Kawaulize waliopitia sheria wakuelewwshe halafu ndo uje kuhara jamvini.
Wazo zuri sana. I can't wait kumuona Nkuruzinza, Kagame & Uhuru Kenyatta akija kupatanisha..5. Anaiomba umoja wa kitaifa na nchi jirani kuingilia kati
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.
Kwani January Makamba ndio Magufuli? Kauli kama hiyo inaathari kubwa ikitolewa na mgombea mwenyewe sio mpambe wake!
Lowassa kashindwa kihalaliHuyu jamaa ni Ngunguri kweli
Nchi za kiafrika unapaswa kuwa hivi
Lowasa mpole sana
Ya lin hyo? Mbona haina tarehe
Ccm wamelikoroga.
Ngoja Lissu afike dar.
Yupo ktk gari ruvu
Seif ni zuzu. Yaani mwenyekiti wa ZEC kaweka mpaka vifungu yeye anaishia kutoa @porojo. hahahaha pole seif, labda usingeungana na fisadi lowasa ungeweza kupona. Pamoja na kuwa Zanzibar kunauonevu sana kwa watu wa pemba, ila na wewe seif unachuki sana kuhusu mapinduzi ndiyo maana hutakaa kuwa rais wa Zanzibar ktk maisha yako, kwani wenzako mapinduzi wanayaenzi wewe unabeza kana kwamba unataka kurudisha usultan.
Tanzania ni nchi ya ajabu sana!!
Natamani kiongozi mmoja wa UKAWA autangazie umma ili tumsaidie mapambano na washenzi wanaoitwa CCM ili tuikomboe nchi yetu. Haki haipatikane ila kwa ncha ya upanga
either Maalim Seif kutangazwa or uchaguzi kurudiwa nchi nzima.
Kwa hiyo Fahmi Dovutwa akijitangaza mshindi wa urais JMT uchaguzi unafutwa mara moja?