angaefanikiwa asingejidhalilisha bangoni kama hivi.Hahaha, mafanikio siku 3? Ina maana yeye keshafanikiwa?
Kama ana uwezo wa kumpatia mtu pesa za majini, sasa yeye kwa nini bado anafanya kazi ya uganga? si angekaa nyumbani kwake akawa anapata mapesa mengi akapita mtaani akigawa kwa wahitaji? hata hilo bango lisingekuwepo hapo, lol