alivyokuwa mchanga mama yake alimlaza kwenye mkeka uliokuwa chini ya mwembe, mama akatoka kidogo ndipo tawi likakatika kutoka kwenye huo mwembe, moja kwa moja, chubwi, kwenye jicho la mtoto, ndio ikawa hivyo, so sad.
me nilimsikia akimjibu salama jabir kwenye mikasi