1.Jpm ni Rais wa kwanza Tanzania kukusanya mapato mengi kwa muda mfupi
2.Ni Rais wa kwanza kusambaratisha mtandao wa wizi bandarini na kusambaratisha kundi la wanaojiita Mungu wat
3.Ni Rais wa kwanza kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma bora muhimbil sa hivi ukifika pale wagojwa wanapewa shikamoo na wauguzi
4.Rais wa kwanza kurudisha heshima ya watu waishio mjini hapa lazima tueshimiane kila mtu anakula kilicho sahih
5.Ni Rais wa kwanza kuliongoza Taifa akiwa peke yake na wasaidizi 3 tu na nchi nzima ikatikisika je, akitangaza baraza la mawazir hali itakuwaje!!!