Maajabu yaliyotokea Chalinze!

Maajabu yaliyotokea Chalinze!

Nchi hii almost yote ni masikini.
Hilo linajulikana.
Chadema jipangeni, ondoeni migogoro ndani ya chama chenu mrudishe imani kwa wapiga kura vinginevyo wananchi watazidi kukosa imani na nyie.
 
Wataalam wa demokrasia wanasema huwezi kujenga demokrasia ya kweli katika jamii ambayo watu wengi ni maskini na hawana elimu. Mjinga ni rahisi kudanganywa, kuuza uhuru wake, kuacha kutumia haki yake, na hata kutishwa. Na pia mtu mjinga si rahisi kujua vipaumbele vyake. Ndiyo maana ukichunguza kwa umakini CCM inaungwa mkono zaidi maeneo ambayo elimu ni duni sana na umaskini umekithiri. Kwa kiasi kikubwa CCM inachukiwa na wasomi wengi. Angalia uungwaji mkono wa CCM upoje katika mashule na vyuo, na kwenye miji mikubwa mingi ambako ndiko inakojulikana watu wenye upeo wapo.

Watakaoiondoa CCM madarakani ni wahitimu wa shule za kata. Hawa japo hawapati elimu bora lakini wanaelimu ya kujitambua.

umeona rafiki? Wasomi lazima uulize, kama unaahidi maji utayaletaje? usipoleta tukufanyeje,
sio mambo ya uhunihuni ya kuhonga na kuibia watu!
 
Hiyo ndo chalinze na hao ndio wakwere

attachment.php
 
Cdm tafuteni kiini cha kushindwa siyo kusingizia umaskini na ujinga kama kwamba Tanzania ndio ina maskini na wajinga wengi kuliko nchi nyingine ambazo zimeshafanya mabadiliko tayari.

Fanyeni siasa vijijini, wekezeni siasa huko vijijini, siyo mfanye siasa mjini mtegemee kupata kura vijijini. Hubirini siasa safi na za kistaarabu, watu watawaunga mkono.

Endeleeni kufanya siasa mjini kamwe hamtashinda vijijini. Mnakwenda vijijini kama zimamoto wakati wa chaguzi halafu mnataka wakuchagueni.

Jitambueni ninyi kwanza kabla ya kuwalaumu wananchi kwa umaskini wao na kutojitambua kwao. Jiulizeni kwanza kama kazi ya kuwaelimisha kujitambua mmeifanya sawasawa.

Vinginevyo tutawaona mnafanya chaguzi kama miradi ya kufukia mashimo ya ufisadi makao makuu.
 
NILICHOSHANGAA CHALINZE:-
Jimbo ambalo JK amekuwa akiliongoza kwa miaka 15 tena amekuwa waziri, Na miaka 9 sasa akiwa Rais

  1. Mtandao wa simu unaopatikana ni Airtell tu!!..yaani akiacha chalinze mjini tu, kwingine kote hakuna mtandao wa Vodacom, Tigo wala Zantel !! Du! Hata Samunge kwa babu kunapashinda Chalinze!!

--Nikajiuliza huyu mkuu wa kaya yaani ameshindwa kushawishi hata makambuni ya simu kuweka minala huku, wananchi wake wawe na uhakika japo wa mawasiliano ya simu tu!
Huu ni dhaifu ya udhaifu!! Huku ni zaidi ya kutojali nyumbani!! huku ni ziadi ya kudhalau wananch wako!!


  1. Kata ya Mkange kijiji cha Tumbilini kuna jengo moja la hospitali linaloonekana halituki na halijamalizwa kujengwa. Wenyeji wanasema ni miaka kadhaa sasa, halijawahi kuletwa daktari wala madawa hamna, hvyo wakiumwa hulazimika kutembea takribani kilometa 8 kutafuta matibabu kwingine.

…Nikapata picha bila shaka hili lilianza kujengwa wakati wa kampeni, baada ya mkuu kushinda kawatelekeza !!


  1. Zaidi ya asilimia 90 ya maeneo ya jimbo hili hayana umeme, wala maji!


  1. Miundo mbinu ni mibovu sana, japo hakuna barabara ya lami zaid ya ile iendayo mikoani, hizi barabara za “vumbi” zilizopo hazina maboresho yoyote kwa miaka kenda sasa!


  1. Zaidi ya asilimia 50 ya wakazi wa jimbo hili hawajui kusoma wala kuandika…(hii ni kwa mujibu wa takwimu za watu waliokuja kupiga kura, mawakara na vijana niloongea nao )


  1. Kwa asilimia kubwa Jimbo halina shule japo za kata! Na hata zile chache zilizopo zimechoka vibaya sana..yaani VIBAYA SANA!! .. hazina madirisha,hazina milango,hazina paa,hazina vyoo,zimechakaa sana..kama hvyo vyamsingi kabisa hazina, shule hizo kuwa na umeme na maji ni ndoto za mchana!

MISHANGAO MINGINE :

  1. Utitiri wa magari ya serikali,magari ya mashirika ya uma, magari ya polisi, magari yenye namba za DFP,SU nk. Inashangaza, utitiri wa viongozi wa kiserikali,kipolisi,..mmh mpaka Raisi wa Znz naye alikuja!! Mheshimiwa Rais kabisa kabisa naye kwenye kampeni za jimbo tu!! Kisa mtoto wa mkuu anagombea…hii ni AIBU zaidi ya kushangaza!


  1. Kituo kimoja kilicho karibu na hifadhi ya Saadani, kilikuwa na idadi ya wapiga kura 320 lakni walijitokeza 20! Niliwauliza baadhi ya wananchi kwanini, hawakujitokeza walijbu kwa kulalamika.

….”Huyu mt0to wa kikwete kagawa elfu kumi- kumi kwa wengine na sisi katuacha, na sisi tumedhila na hatuendi kumchagua!! “….. Nilishangaa!! nikawuliza… kwanin sasa msingeenda kumchau mwingine nanyi mumkomeshe!!..walijibu…”..ahaa tunaogopa kufungwa!”.Kwa kweli, inasikitisha watu wamejazwa imani ya woga!!! Hawaamini hata kuwa kura ni huwa siri kweli kweli!


  1. Kijiji kimoja cha Miono, wanakijiji waliongea wazi kuwa Riz alikuja akawapa wali wakala kaondoka bila kufanya kampeni yoyote ya kisiasa. Na wao wamempa kura zao!! Hahaha.. Nlishindwa kujizuia kucheka ni kama comedy flani, lkn kwa kweli ukifikiria fikra za hawa watu inasikitisha sana..utawaonea huruma tu.


  1. Pamoja na ccm kushinda, wakazi wa jimbo hili hawaonyeshi kushangilia wala shamla shamla zozote! Wanaoshangilia ni wale wachache waliokuja waliokuja kwa “kazi maalumu” tu!


  1. Pamoja na CHADEMA kushindwa lkn kila zilipopita gari za M4C wananchi walishangilia na kuonyesha ishara ya vidole viwili!


  1. Wapiga kura wengi ni wazee, vijana wengi hawamo kwenye daftari la kura. Na wengi wa wazee hawa walikuwa wakiletwa na bodaboda takibani 100 ambazo inaonekana ziliandaliwa kwa shughuli hii.


  1. Wananchi wengi walioongea wazi wazi kuwa wamechagua ccm kwa sababu ya posho walizopewa tu! Lakini hawana mapenzi na ccm. Binafsi niliwasikitikia sana watu hawa..yaani wa nauza haki yako, utu wako kwa sh 5000/- au 10,000 !! ..kwa posho !!!..INASIKITISHA SANA!!

MSHANGAO MKUBWA ZAIDI :
Mtoto wa mkuu wa kaya kaahidi kujenga mashule, mahospitali,barabara,kuleta maji na umeme, n.k..kwa mwaka 1 na nusu tu alionao! Wakati mkuu wa mwenyewe kashindwa kwa miaka yote hiyo akiwa mmbunge,waziri na hata raisi!! watoto wa mjini wanaweza kuita hili..CHANGA LA MACHO…..LIVE- LIVE!!.

“WANACHALINZE WAMELUKA MKOJO WAMEKANYAGA MAVI”

Toa hoja zilizo na mashiko siyo unazungumza hadithi za kutunga ambazo hata mtoto mdogo ukimhadithia anajua kuwa unasema uongo na wakati mwingine mnaposhindwa mkubali kushindwa siyo kila mnaposhindwa mnatoa visingizio
 
Hiyo ndo chalinze na hao ndio wakwere

mkuu ili eneo liko Saadani watu wana shda kule nilikuwa nawahurumia mlo wenyewe watu kule shda wakwere wana shda hawana elimu maji hakuna ndo naamini asiye nacho atakuwa maskini na mwenye nacho ataongezewa
 
NILICHOSHANGAA CHALINZE:-
Jimbo ambalo JK amekuwa akiliongoza kwa miaka 15 tena amekuwa waziri, Na miaka 9 sasa akiwa Rais

  1. Mtandao wa simu unaopatikana ni Airtell tu!!..yaani akiacha chalinze mjini tu, kwingine kote hakuna mtandao wa Vodacom, Tigo wala Zantel !! Du! Hata Samunge kwa babu kunapashinda Chalinze!!

--Nikajiuliza huyu mkuu wa kaya yaani ameshindwa kushawishi hata makambuni ya simu kuweka minala huku, wananchi wake wawe na uhakika japo wa mawasiliano ya simu tu!
Huu ni dhaifu ya udhaifu!! Huku ni zaidi ya kutojali nyumbani!! huku ni ziadi ya kudhalau wananch wako!!


  1. Kata ya Mkange kijiji cha Tumbilini kuna jengo moja la hospitali linaloonekana halituki na halijamalizwa kujengwa. Wenyeji wanasema ni miaka kadhaa sasa, halijawahi kuletwa daktari wala madawa hamna, hvyo wakiumwa hulazimika kutembea takribani kilometa 8 kutafuta matibabu kwingine.

…Nikapata picha bila shaka hili lilianza kujengwa wakati wa kampeni, baada ya mkuu kushinda kawatelekeza !!


  1. Zaidi ya asilimia 90 ya maeneo ya jimbo hili hayana umeme, wala maji!


  1. Miundo mbinu ni mibovu sana, japo hakuna barabara ya lami zaid ya ile iendayo mikoani, hizi barabara za “vumbi” zilizopo hazina maboresho yoyote kwa miaka kenda sasa!


  1. Zaidi ya asilimia 50 ya wakazi wa jimbo hili hawajui kusoma wala kuandika…(hii ni kwa mujibu wa takwimu za watu waliokuja kupiga kura, mawakara na vijana niloongea nao )


  1. Kwa asilimia kubwa Jimbo halina shule japo za kata! Na hata zile chache zilizopo zimechoka vibaya sana..yaani VIBAYA SANA!! .. hazina madirisha,hazina milango,hazina paa,hazina vyoo,zimechakaa sana..kama hvyo vyamsingi kabisa hazina, shule hizo kuwa na umeme na maji ni ndoto za mchana!

MISHANGAO MINGINE :

  1. Utitiri wa magari ya serikali,magari ya mashirika ya uma, magari ya polisi, magari yenye namba za DFP,SU nk. Inashangaza, utitiri wa viongozi wa kiserikali,kipolisi,..mmh mpaka Raisi wa Znz naye alikuja!! Mheshimiwa Rais kabisa kabisa naye kwenye kampeni za jimbo tu!! Kisa mtoto wa mkuu anagombea…hii ni AIBU zaidi ya kushangaza!


  1. Kituo kimoja kilicho karibu na hifadhi ya Saadani, kilikuwa na idadi ya wapiga kura 320 lakni walijitokeza 20! Niliwauliza baadhi ya wananchi kwanini, hawakujitokeza walijbu kwa kulalamika.

….”Huyu mt0to wa kikwete kagawa elfu kumi- kumi kwa wengine na sisi katuacha, na sisi tumedhila na hatuendi kumchagua!! “….. Nilishangaa!! nikawuliza… kwanin sasa msingeenda kumchau mwingine nanyi mumkomeshe!!..walijibu…”..ahaa tunaogopa kufungwa!”.Kwa kweli, inasikitisha watu wamejazwa imani ya woga!!! Hawaamini hata kuwa kura ni huwa siri kweli kweli!


  1. Kijiji kimoja cha Miono, wanakijiji waliongea wazi kuwa Riz alikuja akawapa wali wakala kaondoka bila kufanya kampeni yoyote ya kisiasa. Na wao wamempa kura zao!! Hahaha.. Nlishindwa kujizuia kucheka ni kama comedy flani, lkn kwa kweli ukifikiria fikra za hawa watu inasikitisha sana..utawaonea huruma tu.


  1. Pamoja na ccm kushinda, wakazi wa jimbo hili hawaonyeshi kushangilia wala shamla shamla zozote! Wanaoshangilia ni wale wachache waliokuja waliokuja kwa “kazi maalumu” tu!


  1. Pamoja na CHADEMA kushindwa lkn kila zilipopita gari za M4C wananchi walishangilia na kuonyesha ishara ya vidole viwili!


  1. Wapiga kura wengi ni wazee, vijana wengi hawamo kwenye daftari la kura. Na wengi wa wazee hawa walikuwa wakiletwa na bodaboda takibani 100 ambazo inaonekana ziliandaliwa kwa shughuli hii.


  1. Wananchi wengi walioongea wazi wazi kuwa wamechagua ccm kwa sababu ya posho walizopewa tu! Lakini hawana mapenzi na ccm. Binafsi niliwasikitikia sana watu hawa..yaani wa nauza haki yako, utu wako kwa sh 5000/- au 10,000 !! ..kwa posho !!!..INASIKITISHA SANA!!

MSHANGAO MKUBWA ZAIDI :
Mtoto wa mkuu wa kaya kaahidi kujenga mashule, mahospitali,barabara,kuleta maji na umeme, n.k..kwa mwaka 1 na nusu tu alionao! Wakati mkuu wa mwenyewe kashindwa kwa miaka yote hiyo akiwa mmbunge,waziri na hata raisi!! watoto wa mjini wanaweza kuita hili..CHANGA LA MACHO…..LIVE- LIVE!!.

“WANACHALINZE WAMELUKA MKOJO WAMEKANYAGA MAVI”

Kwa hiyo ina maana wewe umeona mabaya tu! mazuri yaliyofanyika hakuna hata moja??? na kama lipo japo moja mbona hujaandika au unataka kutuaminisha nini
 
Politics aside,je hawa wakazi wa chalinze wanastahili kuwa katika hali hiyo miaka 52 baada ya uhuru na just 70 - 200 kms from Dar es Salaam.Je keki ya taifa imegawiwa equitably?Wakati wengine mnazungumzia kuhama analog kwenda digital wengine hawana hata ndoto ya umeme?.its unfair bila kujali mlengo wa kisiasa uliopo.
 
Maeneo kama hayo yana "faida" yake hususani kwa "wajasiria ardhi" kutoka kaskazini.
Ekari moja ya ardhi unauziwa hata elfu 20. Maelfu ya ekari za ardhi sasa yameshaangukia mikononi mwa wajanja wa kaskazini.
Kufunguliwa kwa hizo shule za kata hata kama ni chache wao wanadhani ni faida kwao lakini wanasahau kumefungulia "viwavi" wa ardhi, vijana walimu kutoka kaskazini. Hadi waje waamke hawa, kwa mjanja asiyekuwa na ekari japo 500 za mitiki basi sio mjanja...

Sometimes nawaza CCM ibaki baki madarakani kwanza tupate zaidi mda wa "kujiweka sawa"...
 
Wataalam wa demokrasia wanasema huwezi kujenga demokrasia ya kweli katika jamii ambayo watu wengi ni maskini na hawana elimu. Mjinga ni rahisi kudanganywa, kuuza uhuru wake, kuacha kutumia haki yake, na hata kutishwa. Na pia mtu mjinga si rahisi kujua vipaumbele vyake. Ndiyo maana ukichunguza kwa umakini CCM inaungwa mkono zaidi maeneo ambayo elimu ni duni sana na umaskini umekithiri. Kwa kiasi kikubwa CCM inachukiwa na wasomi wengi. Angalia uungwaji mkono wa CCM upoje katika mashule na vyuo, na kwenye miji mikubwa mingi ambako ndiko inakojulikana watu wenye upeo wapo.

Watakaoiondoa CCM madarakani ni wahitimu wa shule za kata. Hawa japo hawapati elimu bora lakini wanaelimu ya kujitambua.
Ndiyo maana kinanitiwa chama cha wanyonge! Kinayajua matatizo Yao na wao wankijua!
 
Bange ndio hizi fanyeni kampeni kama ni posho toeni tu hakuna anayewazuia


Sent from my iPhone
 
Na mtaji mkubwa wa ccm kwa sasa kutumia ujinga wa wananchi kushind


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Msoga kwa baba, Kiwangwa kwa mama, kamaliza adaiwi na yeyote. Riz-one hongera kwa ushindi wa kishindo. Jiandae kwa ajiri ya 2015, ahirisha kujipongeza muda haiko upande wako.Cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
kikwete alikuwa bagamoyo siyo chalinze

Wewe nawe ata ujui historia kabisaa unakurupuka tuuu

Kikwetere alikuwa mbunge wa jimbo la baagamoyo (yani wilaya ya bagaamoyo)

Sasa jimbo lile lina majimbo mawili (chalinze na bagamoyo)

Weka hii kichwani kuanzia sasa kijaana.
 
Wale jamaa Bongi Bongi kweli!Wakasome elimu ipi wakati tayari walizaliwa wanajua ushirikina na kuuana?Wao kwao mji ni Kariakoo. Angalia hata viongozi wenye asili ya pwani; wote wanawaza kuwa karibu na Jiji la Dar!
 
Ni vyema ukajibu kwa hoja kwamba hili si la kweli kwa sababu hii na hii! Post yako bado haijajibu hoja
Atajibu nini wakati hana akili? yeye hapo anafurahia shibe ya ubwabwa huku mkewe akiwa kavaa kanga mpya
 
Sikutegemea Bunge letu lingeliendelea kupata pigo la jinsi hii. Najribu kufikiri vijana hawa wawili (chalinze na Kalenga)watakalolifanya bungeni sipati picha....ila tunakoelekea ni pabaya. Maamuzi yanayoweza kufanywa na vijana hawa...including Mwigulu...ni janga la taifa!
 
Back
Top Bottom