Maajabu ya Wilaya ya Lushoto

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,260
Maajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo mfano mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuchafu, dis-organized vumbi kila sehemu atastaajabu sana

Haya kwangu ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia Wilaya ya Lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa ila ukienda lushoto utashangaa kuna makabila matatu wanaishi vizuri tu nayo ni wapare na wambugu

Wilaya ya Lushoto kuna wapare na wambugu ambao wako baadhi yao hawajui hata kisambaa ila cha ajabu mbugu akiongea huwezi mtofautisha na mpare ni lugha moja ila wanajitambulisha kama makabila mawili tofauti

Ni rahisi sana mbugu kuongea kipare, ni ngumu kwa mpare kuongea kimbugu japo atakua anamsikia kwa tabu sababu lugha zao hazija-achana sana
ila kwa observation yangu wale wambugu na wapare ni kabila moja sijaona mantiki ya wao kuwa makabila mawili tofauti
 
Nijuavyo Watu wa ukanda huo kama sio mchawi,ni mganga wa kienyeji ama watoo's je hapo nipo sawa ama mastori ya kusadikika tu๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
... eti "maajabu". Teh!
Nilivyokua mdogo kuna rafiki yangu alikuja napoishi palikuwa ni uswahilin tuakenda dukani kwake yeye aliona maajabu kuona watu wananunua mafuta ya mia tatu au mia

Kwa hiyo neno maajabu lina maana kubwa sana ukienda umasain utashangaa sana kuona maisha wanayoishi kwako itakua ni maajabu
 
Nijuavyo Watu wa ukanda huo kama sio mchawi,ni mganga wa kienyeji ama watoo's je hapo nipo sawa ama mastori ya kusadikika tu๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿคธ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Sio KWELI
 
Sasa Mkuu kwa level ya mtu ambaye umeweza hadi ku-post humu hicho ulicho-post kinaweza kuwa maajabu kweli? Shida iko hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ