Mtoa mada nimemuelewa agenda yake inaonekana ni maajabu kwa lugha iliyotumika na siyo maajabu ya kinachofanyikahamna maajabu hapo, wanafanya practical tu au mazoezi kwa vitendo. Hamna kifaa hata kimoja katika hivyo wameviunganisha ambacho wametengeneza wao. Walichofanya wao ni kuunganisha tu. Hata namna ya kufanya au kuunganisha hawajabuni wao, ni mbinu ya kutengeneza super computer ambayo ipo miaka nenda rudi.
Mbona wana kingereza kizuri tuHicho kingereza dah!
Tatizo letu ni siasa ndugu, mfano mzuri kuna Kajengo kanaitwa Teaching Tower kanajengwa hapo DIT miaka nenda rudi kapo tu unafikri kuna wachawiKama serikali haitowekeza vya kutosha kwenye sayansi na teknolojia tutaendelea kuona hayo ni maajabu. Supa kompyuta zilianza miaka ya 1960 na teknolojia yake iko mbali sana. Wakati wenzetu wakiwa kwenye nanoteknolojia, sisi tunashangaa kitu walichofanya hao watoto. Serikali na wadau wawe serious na hilo na kuacha mzaha.
Ni kweli kabisa, siasa imechukua mahala pa wataalam. Nchi hii ukiwa mwanasiasa hata kama ni std 7 unafikiri unajua kila kitu na kutoa maamuzi bila ya kushirikisha wala kusikiliza wataalamu. Nchi za asia zinazoendelea ni kwa sababu ua uwekezaji mkubwa kwenye sayansi na teknolojia na kupunguza siasa kwenye mambo ya msingi. Vituo vyetu vya utafiti haviko vizuri kwa sababu serikali haitoi pesa na wanategemea kuandika proposals kwa wahisani. HatutofikaTatizo letu ni siasa ndugu, mfano mzuri kuna Kajengo kanaitwa Teaching Tower kanajengwa hapo DIT miaka nenda rudi kapo tu unafikri kuna wachawi
Elimu ya hapa ni imara kwenye technical issues, but shida ipo kwenye kumfanya mwanafunzi kuto kuwa na understanding capacity kubwa kwenye taaluma husika,DIT ni chuo ambacho kinasemekana kinaongoza kwa Technology Tanzania angalia maajabu ya kitechnolgy wanayofanya hapa
Hyo lugha ya watu.hata mzungu mwenyewe anachemkaHicho kingereza dah!
Una maana gani?Elimu ya hapa ni imara kwenye technical issues, but shida ipo kwenye kumfanya mwanafunzi kuto kuwa na understanding capacity kubwa kwenye taaluma husika,
Mkuu hiyo miaka ya 1960 ni majuz. Kuna mifumo ya umeme pale Uingereza/Europe at large ipo tangu miaka ya 1880 huko,sisi hadi leo hatuna.Kama serikali haitowekeza vya kutosha kwenye sayansi na teknolojia tutaendelea kuona hayo ni maajabu. Supa kompyuta zilianza miaka ya 1960 na teknolojia yake iko mbali sana. Wakati wenzetu wakiwa kwenye nanoteknolojia, sisi tunashangaa kitu walichofanya hao watoto. Serikali na wadau wawe serious na hilo na kuacha mzaha.
Mimi Nina wasiwasi na uwezo wa judgement yako hivi hapo ulipo unaweza kucompare USA na TANZANIA katika maswala ya kimaendeleo mpaka ulinganishe DIT na MIT?.Hivyo vyuo kwanza vina uwezo mkubwa kiuchumi kuliko Hiyo DIT unayoicompare kwa kuita nonsanse.Kwa hapo unatakiwa kuwapongeza na kuwatia moyo au kuwasupport kwa mile kidogo wanachokifanya kutokana na uwezo was kifedha walionao endapo wangekuwa na uwezo kama MIT wangefanya hata zaidi
Mi nawasifu dit maana wanaonekana wanaenda na wakati vyuo vingine bado wanasoma teknolojia za nyuma mkuu supercomputer ni updated technology na ni kweli kingereza kinausika ila tulipitia advance pcm na kusoma kozi za sayansi uwa tunakosa mambo ya debate na kuzungumza mara kwa mara lugha ya maikia . Wenyewe tukiambia by default una output ......
Tushaelewana. Kulinganisha MIT na bongo hapo unalinganisha tui la nazi na maziwa. Mi worry yangu ni kwa wale waliopata fursa ya kwende kusoma huko wakija hapa hatuoni changes ndio na washang'aa
Kusoma DIT sio kitu wala kufanya Degree MIT sio kitu.. Kitu Ni Wewe mwenyewe unasimamaje kwenye uwajibikaji wa kile ulichojifunza au unachojifunza. Tupo mtaani na tunafanya vitu vya walioenda skul. Maarifa yanaanzia kwako kabla hujayapata kwingine....ok sawa ila kwa taarifa yako tu Maxence Mello naye kasoma hapo hapo DIT.
Melo mwenyewe kasoma DIT, DIT wako vizuri mkuuNonsense
Walichokifanya Hicho ni kipi cha ajabu..
Kipi ambacho haijawahi kufanywa
Nenda MIT Uone watu walivyo ma genius
Nenda pale Silicon Valley uone proposal za watu wakizipeleka kwa Angel investors uone watu wanavyofanya maajabu kwenye (technology)
Nenda HQ ya NSA uone maajabu ya data intelligence inavyofanya kazi
Angalau Hata kina maxsence Melo na wenzake wakianzisha JF angalau wamefanya maajabu ya tecnology Tanzania
Unasema maajabu je
Steve Jobs na [emoji519] yake asemaje
He Microsoft wasemaje
He shazam wasemaje
Je FIFA 2017 na Xbox wasemaje
Je YouTube wasemaje
Eti maajabu
Pathetic
....nini wewe;Noooo!!!! Mataifa mengi tu ya Afrika Kiingereza si Lugha yao ya Kwanza, lakini kwenye elimu ya taaluma kama hiyo wanakuwa vizuri ktk kujieleza, sasa tusipende kupeana moyo na kujazana ujinga, hao ndiyo walimu wetu veta tutegemee nini? Tafadhali tuwe serious jamani.