Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Dah!!! Jamaa wako mbali sana
Mkuu naona umeamua kutafsiri maelezo ya kwenye picha kinyume, unanikumbusha mkalimani wa yule bondia mbongo aliyeshinda pambano ughaibuni majuzi. Ha ha haaa eti satellite yenye 24.9 billion pixelHiyo picha ya Shanghai imepigwa na Satellite ya wachina yenye uwezo wa billion 24.9 pixel
Mbwa tena??;!Hao jamaa mbwa kweli.
Ndiyo mkuu yaani wana ujinga sana. Dah kweli wenzetu siyo wa kawaida.Mbwa tena??;!
Aisee Jay Efu kuna watu waongoooo!!! Weka screenshot tuone na sisinimeona mwanadada mmoja akitandika kitanda kwemye moja ya chumba ghorofani


.Keep zooming in,
Shanghai CHINA - billion pixels panorama
Hongkong CHINA - billion pixels panorama
Shanghai Bund CHINA - billion pixels panorama
Phi Phi Islands Thailand - billion pixels panorama
Macao CHINA - billion pixels panorama
TianAnMen CHINA - billion pixels panorama
Shenzhen CHINA - billion pixels panorama
Lhasa CHINA - billion pixels panorama
QingDao CHINA - billion pixels panoramaNi setilite yao mpya inaitwa big pixel ndio inafanya hizo mamboHii ni Picha ya hatari
Ingia hapa then zoom utaona kila kitu kuanzia kucha, unywere, namba za magari na kila kitu. Sijui ni uchawi?!?!
上海超级全景
Inaitwaje mkuuuuHivi hiyo hata application yakeninayo hata kwenye simu yako waweza set ikatoke kwenye location uliopo
Hata wenyewe walivyozindua waliita big pixel mkuunadhan haijafikisha hata miezi miwiliMkuu naona umeamua kutafsiri maelezo ya kwenye picha kinyume, unanikumbusha mkalimani wa yule bondia mbongo aliyeshinda pambano ughaibuni majuzi. Ha ha haaa eti satellite yenye 24.9 billion pixel